BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Sunday, April 28, 2013

DENT WA CHUO ALIVYOUWAWA!

MWANAFUNZI wa mwaka wa pili katika Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) kilichopo Njiro jijini hapa, Henry Koga, ameuawa kikatili na hivi ndivyo
Kwa mujibu wa wanachuo wenzake ambao hawakutaka majina yao kuandikwa gazetini, Koga aliuawa kinyama kwa kuchomwa kisu shingoni na kundi la watu wasiofahamika wakati akitoka kujisomea nje ya chuo usiku wa kuamkia Jumatano iliyopita.

Imeelezwa kuwa tukio la kuuawa kwa mwanafunzi huyo lilitokea saa 4 usiku ambapo marehemu huyo akiwa na wenzake walivamiwa na kundi la wahuni wapatao wanne katika eneo la CDA, jirani na chuo hicho na Koga kuchomwa kisu shingoni na kifuani.

Wanachuo wenzake walisema marehemu hakuwa anatoka kwenye starehe kama watu wengine wanavyodai bali alikuwa na wenzake wakitoka kujisomea nje kidogo ya chuo hicho kwa ajili ya kujiandaa na mitihani na walipofika eneo hilo, wakavamiwa na watu wasiojulikana. Baada ya tukio hilo, baadhi ya wanafunzi walijikusanya asubuhi yake na kuanza kuandamana kushinikiza uongozi wa chuo hicho kutoa tamko juu ya vitendo vya uhalifu vinavyojirudia mara kwa mara chuoni hapo. Kufuatia tukio hilo, wanachuo hao walifanya vurugu kubwa na kumlazimisha Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo kwenda chuoni hapo, alipofika kulitokea hali ya kutoelewana ambapo walimzomea na kumpiga mawe, hali iliyosababisha polisi kuingilia kati na kuwafyatulia mabomu ya machozi. Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema naye alijitahidi kuwatuliza bila mafanikio huku ikidaiwa yeye ndiyo chanzo cha vurugu hivyo kutakiwa kukamatwa. Mkuu wa mkoa alilazimika kuondoka eneo kuokoa maisha yake. Naye Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, ACP Ibrahimu Kilongo akizungumzia tukio hilo, alisema wanachuo 10 wanashikiliwa na polisi kutokana na vurugu hizo na kwamba uchunguzi unaendelea.

GODBLESS LEMA ATIWA MBARONI KWA TUHUMA ZA UCHOCHEZI

Jeshi la polisi mkoani hapa limemtia mbaroni mbunge wa jimbo la Arusha mjini Mhe Godless Lema kwa tuhuma za uchochezi kwa wanafunzi kwenye chuo cha uhasibu mwanzoni mwa wiki katika vurugu zilizotokea chuoni hapo baada ya mwenzao kuuwawa juzi usiku huko maeneo ya njiro jijini hapa

Kamanda wa polisi mkoani hapa kamishna msaidizi wa polisi Liberatus Sabas alisema kuwa Mhe Lema alikamatwa huko nyumbani kwake Njiro majira ya saa 9 usiku.

Afande Sabas alisema jeshi hilo linaendelea na mahojiano na mtuhumiwa na kuwa katika tukio hilo zaidi ya watuhumiwa 14 walifikishwa mahakamani jana na kuwa hao hawezi kuwaongelea kwani kesi yao ipo kwenye chombo hicho cha sheria.

Pia kamanda Sabas alisema kuwa Mh Lema anashikiliwa kutokana na vurugu zilizotokea juzi kwenye chuo cha uhasibu na kuwa atafikishwa mahakamani siku ya jumatatu.

Kwa upande mwengine Kamanda Sabas alisema kuwa zaidi ya hao watu 14 na Mhe. Lema hakuna mtuhumiwa mwingine aliyakamatwa. Awali ilisemakana wakili wake Albert Msando nae amekamatwa.

Mnamo siku ya Jumatatu mwanafunzi mmoja aliuwawa kwenye mitaa ya Njiro jijini Arusha na watu wasiojulikana hali iliyoleta tafrani hadi wanafunzi hao walipoleta vurugu chuoni hapo na polisi kutumia mabomo ya machozi kuwatawanya.

Sekeseke hilo lilimalizwa na jeshi la polisi baada ya wanafunzi kutotii amri ya mkuu wa mkoa huo Magessa Mulongo na kuanza kuingia barabarani kuandamana.

ISHA MASHAUZI ASWEKWA NDANI KWA UTAPELI

MWIMBAJI ambaye pia ni bosi wa Kundi la Mashauzi Classic, Aisha Ramadhan Makongo

alikumbwa na masaibu mazito kufuatia kudakwa na polisi wa Kituo cha Msimbazi, Dar akituhumiwa kukwapua mkoba wenye kitita cha shilingi laki saba, elfu hamsini na nane na mia mbili (758,200) mali ya Veronica Tarik.

ANASEPA: Mashauzi akiwakimbia Waandishi wa Global kuelekea kwenye Gari baada ya kutolewa dhamana

Chanzo cha habari kituoni hapo kilidai kuwa Jumanne iliyopita, Isha Mashauzi na shosti wake aliyejulikana kwa jina la Halima Shaban waliingia duka moja Mtaa wa Mafia na Jangwani, Kariakoo, Dar kwa lengo la kufanya ‘shopping’ lakini walipochomoka, Veronica alishangaa kutouona mkoba wake.

ISHA AKIMBIZWA Veronica aliwakimbiza wawili hao na kuwadaka mtaa wa pili na kuwasomea tuhuma zao kisha akawaomba awasachi kwenye mafurushi waliyobeba lakini Isha na mshirika wake waligoma, hali iliyosababisha kuzuka kwa timbwili wakidai mwanamke huyo alitaka kuwadhalilisha.

Baada ya Veronica aliyekuwa na wapambe ‘legelege’ kuzidiwa nguvu, waligeuka na kukimbilia Kituo cha Polisi Msimbazi ambako alifungua kesi ya wizi kwa Isha na shosti wake kwa jalada namba MS/RB/4023/2013.

MSAKO MTAA KWA MTAA WAANZA Maafande wenye difenda waliingia mitaani kuwasaka watuhumiwa hao mtaa hadi mtaa wakitumia mbinu mpya za kikachero na kufanikiwa kuwatia mbaroni Jumatano iliyopita. Isha akiwa selo, wapambe wake walimiminika kituoni hapo akiwemo Mtangazaji wa Kituo cha Redio Times FM cha jijini Dar, Hadija Shaibu ‘Dida’ kwa ajili ya kuhangaikia kuwachomoa wawili hao.

WAPAMBE WAMCHOMOA Saa 5:14 usiku, wapambe hao walifanikiwa kuwawekea dhamana lakini kasheshe nzito ilikuwa wakati wa kutoka rumande kwani wapambe wa Isha waligundua kuwa mapaparazi walikuwa wamekizingira kituo hicho na vifaa vya kisasa kwa ajili ya kunasa picha zao. Isha alijaribu kujibanza ndani ya selo lakini wapambe walimpelekea taarifa kuwa mapaparazi nje walikuwa wakijipanga kukesha kituoni hapo mpaka siku itakayofuata. Baada ya kupata ujumbe huo, Isha alichomoka mahabusu kwa kasi ya mnyama swala na kukimbilia kwenye gari aliloandaliwa kumchukua huku wapambe wake wakiwa wamezikamata kamera za mapaparazi eti ili wasimpige picha.

MSIKIE ISHA MASHAUZI Kesho yake Alhamisi, paparazi alizungumza na Isha kwa njia ya simu ili aweze kuweka bayana juu ya sakata hilo lakini mwimbaji huyo alimjibu mbofumbofu. “Wewe andika unachotaka si ulikuwepo kituoni na umenipiga picha, sasa unataka nini? Yaani hata wewe unanifanyia hivyo duh! Leo nimeamini mapaparazi hawana undugu,” alisema Isha na kukata simu.

MAPYA YAIBUKA

MAPYA yameibuka kufuatia utata wa kifo cha Mwalimu Elizabeth Mmbaga (22) kilichotokea kwa madai ya kunyongwa usiku wa kuamkia Jumatatu, Aprili 15, mwaka huu nyumbani kwake, Kimara -Baruti, Kinondoni, jijini Dar.

Hapa ndipo ulipo kutwa mwili wa marehemu Elizabeth

Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini mambo mapya kiasi cha kukifanya kifo hicho kihusishwe na mauaji ya kikatili yanayodaiwa kufanywa na mpenzi wake ambaye ni Mtanzania mwenye asili ya Kiasia aliyejulikana kwa jina la Srinivas, mkazi wa Mikocheni, Dar.

Ndugu wakifungua chumba cha marehemu

Timu ya wachunguzi wetu ilimtafuta mjomba wa marehemu anayeishi Mabibo, Dar ambaye inadaiwa ndiye aliyekuwa akiwasuluhisha Eliza na mpenzi wake na kumuuliza kuhusu kifo hicho na mambo mapya yaliyopo.

Mmoja wa ndugu wa marehemu akimtambua muuaji kwenya picha

“Nakumbuka wiki moja kabla ya mauaji, Elizabeth alinieleza kwa njia ya simu kuwa alipata taarifa toka kwa rafiki yake ambaye ni jirani yake akimwambia kwamba jamaa yake huyo yupo katika baa iliyopo jirani na nyumba aliyokuwa akiishi. “Ilinibidi nikutane na Eliza, tukafuatana naye hadi kwake kwa vile yule Mhindi alikuwa akimtishia kila mara kwamba atamuua kutokana na mgogoro wao wa kimapenzi.

Enzi za uhai wa marehemu

“Tulipokaribia yule Mhindi akawa anaondoka nyumbani hapo akifuatana na vijana wawili ambao hatujawahi kuwaona. Waliingia kwenye Bajaj, mimi niliwapigia winja, wakasimama, kijana mmoja alishuka na kunifuata. “Nilimwomba na yule Mhindi ashuke. Nikajitambulisha kwake mimi ni mjomba wa Eliza na kwamba nimepata taarifa anataka kumfanyia fujo Eliza, nikamuuliza kuna tatizo gani? “Alinijibu hawezi kufanya fujo. Hata hivyo, haikuchukua muda wakaanza kuzozana mbele yangu huku Mhindi akimuuliza ni kwa nini anampigia simu hapokei! “Ilibidi nimwombe Eliza aondoke mimi niongee na yule Mhindi ingawa Eliza hakuondoka. Nilimuuliza ana muda gani tangu aanze kufahamiana na Eliza, alijibu ni miezi saba. “Nilimuuliza kama hawajawahi kukorofishana hata siku moja? Alinijibu wamekuwa wakikorofishana mara kwa mara, nikamshauri aachane naye, akasema anampenda sana hawezi kumwacha. “Eliza aliingilia kati na kumwambia Mhindi kuwa yeye hampendi, Mhindi akasema yaishe naondoka lakini utaona. “Wakati huo ilikuwa kama saa tano usiku. Mhindi aliingia kwenye Bajaj na kuondoka na wale vijana wawili. Nilimwambia Eliza asilale kwake, alifanya hivyo ambapo alikwenda kwa mama’ke mdogo, Tabata -Barakuda. “Siku ya tukio, saa kumi jioni mama’ke alinipigia simu akinitaka tukutane kwa Eliza. Tulipofika tulikuta walimu wenzake wakilia, tuliwauliza wanacholilia hawakutujibu. “Mimi niliamua kuingia ndani kwa Eliza na kumkuta amelala, nilipomwangalia niligundua amefariki dunia. Alikuwa akitokwa damu mdomoni na puani. Ulimi ulikuwa nje huku akiwa na alama kama za kucha shingoni, nahisi alinyongwa kwa mkono. “Nilikwenda Kituo Kidogo cha Polisi Rombo na kutoa taarifa, nikafuatana na polisi wawili mpaka kwenye eneo la tukio. “Inauma sana! Hakuna kitu chake chochote kilichochukuliwa, hakika Eliza angetoa taarifa mapema polisi kama alivyoshauriwa kufuatia vitisho vya yule jamaa asingeuawa,” alisema mjomba mtu huyo. Mama mdogo wa marehemu, Anna Domisian naye alikuwa na haya ya kusema: “Siku hiyo ya Jumatatu, saa tisa alasiri nilipigiwa simu na mwalimu mmoja akinitaka nifike Kimara kwa Eliza, hawakuniambia kilichotokea. Nilipofika nikakuta mwili wa Eliza ukiwa juu ya kitanda. Nilipatwa na mshtuko mkubwa kwani Jumapili jioni aliniaga anarudi kwake. “Siku za nyuma aliwahi kunieleza juu ya fujo anazofanyiwa na mpenzi wake wa Kihindi na ndiyo maana nilimweleza mjomba wake aende akawasikilize.”

JK ATUNUKU NISHANI KATIKA SHEREHE ZA MUUNGANO


Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama,Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete (katikati, mbeke) akiwa katika picha ya pamoja na askari 30 aliowatunuku nishani mbalimbali, ikiwa ni moja ya shamrashamra ya kuadhimiasha miaka 49 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Ikulu, Dar es Salaam

Friday, April 26, 2013

TAB: Kim Kardashian Abandoned By Kanye West, Set to “Raise The Baby Alone”


Kim Kardashian is
“miserable,” declares Star ,
continuing in the pathetic
tabloid trend of trying to stir drama in the reality
star’s pregnancy.
The mag claims Kardashian is “distraught” over
her “ailing relationship” with Kanye West , quoting
a supposed “insider” as saying, “Kanye has been
nearly absent from Kim’s life since she got
pregnant.”
The “source” reveals, “He barely talks to her,
claiming he’s too busy recording in Paris.”
Star ’s so-called “insider” goes on to allege,
“Kanye refuses to record in the United States
because he claims he’s more ‘on point’ in Paris,”
adding, “He told Kim that his mind is so tangled
with baby thoughts and fears that it’s messing
with his creativity.”
“Baby thoughts and fears”? How incredibly vague.
Also, West made the decision to record in Paris
before he even got together with Kardashian, so
the claim that he went there to clear his head is
totally bogus.
Anyway, the tab’s mole says the Marriage
Counselor actress is “scared she’ll be left to raise
the baby alone — or, worse, that she’ll be back in
court, battling him for custody.”
Oh, please.
While Kardashian and West’s situation is of
course not ideal, the pair is making their
relationship work despite the distance.
The “Otis” rapper just spent this week in New
York with Kardashian, and he’s flown to L.A. to
be present for many of her doctor’s
appointments.
In any case, Gossip Cop once again checked in
with a Kardashian family insider, who tells us the
mag’s story is “tabloid nonsense.”

TAB: Kim Kardashian Abandoned By Kanye West, Set to “Raise The Baby Alone”


Kim Kardashian is
“miserable,” declares Star ,
continuing in the pathetic
tabloid trend of trying to stir drama in the reality
star’s pregnancy.
The mag claims Kardashian is “distraught” over
her “ailing relationship” with Kanye West , quoting
a supposed “insider” as saying, “Kanye has been
nearly absent from Kim’s life since she got
pregnant.”
The “source” reveals, “He barely talks to her,
claiming he’s too busy recording in Paris.”
Star ’s so-called “insider” goes on to allege,
“Kanye refuses to record in the United States
because he claims he’s more ‘on point’ in Paris,”
adding, “He told Kim that his mind is so tangled
with baby thoughts and fears that it’s messing
with his creativity.”
“Baby thoughts and fears”? How incredibly vague.
Also, West made the decision to record in Paris
before he even got together with Kardashian, so
the claim that he went there to clear his head is
totally bogus.
Anyway, the tab’s mole says the Marriage
Counselor actress is “scared she’ll be left to raise
the baby alone — or, worse, that she’ll be back in
court, battling him for custody.”
Oh, please.
While Kardashian and West’s situation is of
course not ideal, the pair is making their
relationship work despite the distance.
The “Otis” rapper just spent this week in New
York with Kardashian, and he’s flown to L.A. to
be present for many of her doctor’s
appointments.
In any case, Gossip Cop once again checked in
with a Kardashian family insider, who tells us the
mag’s story is “tabloid nonsense.”

Kim Kardashian and Kanye West Have Dinner Date in New York


Kimye Takes New York!
Kim Kardashian and Kanye West have been
spotted all over the city this week since reuniting
on Monday .
PHOTOS BELOW
On Tuesday night, the parents-to-be were seen
leaving the Trump Soho to have dinner at ABC
Kitchen in Chelsea.
Despite bogus tabloid rumors that West has
deserted Kardashian during her pregnancy, the
couple is managing to make their relationship
work while the rapper spends time recording in
Paris.

RACHEL NDAUKA AANGUSHA PARTY LA NGUVU COCO BEACH

Mtangazaji wa Kituo cha Runinga cha Star, Rachel Ndauka jana aliangusha bonge la pati ya kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa ‘bethidei’ ambayo ilitawaliwa na shangwe za hapa na pale sambamba na vituko vya kila aina. Sherehe hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Hazina Lounge uliopo katika Ufukwe wa Coco jijini Dar ambapo Rachel alitimiza miaka 22 na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wasanii wa muziki na filamu huku suala la burudani likishika kasi mwanzo mwisho.

CHUZI AMSAJILI BATULI

Direkta wa Kampuni ya Tuesday Entertainment, Tuesday Kihangala ‘Mr Chuz’ ameamua kumsajili mwigizaji anayekuja kwa kasi, Batuli ili kuimarisha kampuni yake.

Akizungumza na Centre Spred, Chuz alisema amefikia uamuzi wa kumchukua nyota huyo baada ya kuona uwezo wake katika kazi ambazo amezifanya na zimefanya vizuri sokoni. “Natarajia kumchezesha katika filamu yangu mpya ya Makaburi ya Kinondoni, uwezo wake ni mkubwa nina imani atafanya vizuri,” alisema Mr Chuz.

WANAUME WAMENIPOTEZEA MUDA

MNENGUAJI wa Bendi ya FM Academia, Suzan Chubwa ‘Queen Suzy’ amesema hahitaji mwanaume yoyote kwa sasa kwani wanampotezea muda kwa kipindi kirefu.

Akizungumza na Centre Spread Queen alisema wanaume wamekuwa wakimsumbua mara kwa mara kutaka kampani ya kimapenzi lakini wengi wao wanakuwa hawana mapenzi ya kweli hivyo anaona bora kuwapiga chini. “Bora niwe singo natafuta pesa kuwazawaza hawa wanaume nitaishia kuumia tu na kushindwa kufanya shughuli zang, tena waache kunifuatafuata kwa sasa,’’ alisema Queen Suzy. Mnenguaji huyo alishawahi kuwa na uhusiano na mwimbaji wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Kalala Junior ambaye alizaa naye mtoto mmoja baadaye akatembea na rapa wa FM Academia, G 7 ambao wote ameshamwagana nao.

LULU AINGIA LOCATION!

HATIMAYE staa wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameingia mzigoni na kufyatua filamu yake mpya baada ya kimya cha muda mrefu, Amani limeinyaka.

Kwa mujibu wa mtandao wake wa kijamii wa Instagram, Lulu alitupia picha akiwa ‘location’ kuashiria kwamba amerudi kazini baada ya kusimama kuigiza kwa muda mrefu.

Baadhi ya picha hizo zinamuonesha Lulu akiwa na staa mwingine wa filamu Bongo, Hashimu Kambi mbele ya kamera kwa ajili ya kushuti filamu hiyo ambayo jina lake halijapatikana.

Mara baada ya kutupia picha hizo mtandaoni, watu mbalimbali walimtumia ujumbe kumsifia kwa kumwambia kuwa ana kipaji cha kazi hiyo.

Miss Tanzania namba mbili 2006, Jokate Mwegelo naye alichangia mada hiyo na kumsifu Lulu kwa uwezo wake wa kuigiza. Lulu amekuwa kimya kwa muda mrefu baada ya kupata msala wa kumuua bila ya kukusudia staa mwingine wa filamu za Kibongo, Steven Kanumba, Aprili 7, mwaka jana, hivi sasa yuko nje kwa dhamana.

MTANGAZAJI DIDA ARUDIANA NA MUMEWE G.

Ndoa ya mtangazaji wa Redio Times FM ya jijini Dar, Khadija Shaibu ‘Dida’ imerudi hewani baada ya hivi karibuni mwanadada huyo kuamua kurudiana na mumewe Gervas Mbwiga ‘G’.

Wakiwa wenye furaha siku ya ndoa

Chanzo chetu makini cha habari kilichoomba hifadhi ya jina lake kilieleza kuwa wawili hao waliamua kuihuisha ndoa yao waliyoifunga Julai mwaka jana baada ya kumaliza tofauti zao zilizosababisha watengane mwaka jana. Chanzo hicho kikadai kuwa aliyeomba warudiane ni mwanaume ambaye alimtaka Dida amsamehe kwa yaliyotokea na wafungue ukurasa mpya wa maisha yao.

siku ya sherehe ya ndoa yao

“Kwa kifupi sasa hivi wako ‘peace’, wamerudiana na mapenzi yao ya sasa yamekuwa moto kuliko ilivyokuwa awali,” alisema mtoa habari huyo. Katika kujua ukweli wa mambo, mwandishi wetu alimtafuta Dida kupitia simu yake ya kiganjani, alipopatikana na kutakiwa kuzungumzia ishu ya kurudiana na G alisema: “Ni kweli tumerudiana, tuliona tusahau yaliyopita na tuendelee na maisha yetu, sasa ni raha kwa kwenda mbele.”

MACHANGUDOA WANASWA COCO BEACH

NI aibu sana! Ndivyo unavyoweza kusema juu ya Oparesheni ya Fichua Maovu iliyosimamiwa na Kamanda wa Polisi Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar, OCD Wilbroad Mutafungwa na Ofisa wa Oparesheni, Inspekta Jacob Swai kwa kushirikiana na Global Publishers iliyonasa wanawake wanaojishughulisha na mambo ya ngono usiku kucha.

Katika oparesheni hiyo iliyofanyika usiku wa Jumapili iliyopita watu kibao walinaswa hasa katika Ufukwe wa Coco, jijini Dar akiwemo bibi harusi mmoja na mtoto wa kigogo (jina linahifadhiwa).

BIBI HARUSI LAIVU KWENYE BAJAJ Kwenye ufukwe huo, mwanamke mmoja ambaye jina halikupatikana, aliyedaiwa kufunga ndoa Ijumaa iliyopita, naye alikamatwa katika msako baada ya kunaswa na mwanaume wakifanya ngono kwenye Bajaj.

Katika tukio hilo, mwanaume alifanikiwa kutoka nduki huku akimwacha demu wake akijikusanya kwa kuvaa nguo. Mwanamke huyo naye alifanikiwa kuwatoka askari hao na kukimbilia chooni ambapo aliwakuta wanawake wengine waliojificha hivyo wakakamatwa wote kwa pamoja. Ili kuweka ushahidi, askari hao wa kazi waliikamata Bajaj hiyo.

ALIKWENDA KUKUMBUSHIA ENZI ZAKE Kwa mujibu wa mwanamke huyo, mkazi wa Kinondoni-Manyanya, usiku huo alifika mahali hapo kukumbushia enzi zake kabla ya kuolewa ambapo ilidaiwa kwamba alikuwa akijiuza ufukweni hapo. Alijitetea kuwa mume wake alisafiri hivyo akaona akakumbushie enzi zake kabla hata ‘hina’ aliyopakwa wakati wa harusi haijafutika mwilini. Pamoja na maelezo hayo, mwanamke huyo aliishia kwenye ‘difenda’ la polisi tayari kwa kupelekwa kituoni kwa maelezo zaidi.

BINTI WA KIGOGO Katika kundi hilo la wanawake na wanaume zaidi ya hamsini waliokamatwa ufukweni hapo usiku huo wa saa 9 na ushee, kulikuwa na mtoto wa kigogo mmoja serikalini katika idara nyeti ambaye alinaswa mchangani baharini akiwa kwenye kundi la makahaba. Mtoto huyo aligundulika kuwa ni binti wa mnene wakati wa kutoa maelezo kituoni Oysterbay.

MASIKINI ALIKUWA NA ‘BOIFRENDI’ WAKE Akijitetea wakati wa kutoa maelezo, binti huyo aliyeonekana mrembo na mwenye mvuto wa ajabu, alisema kwamba alikuwa na ‘boifrendi’ wake na kuwa alitoroka kwao usiku huo. Binti huyo aliomba chondechonde asipigwe picha kwani endapo itaonekana gazetini basi atakuwa amejipalia makaa nyumbani kwa vile hataeleweka kwa sababu anapatiwa fedha za matumizi pamoja na ada ya shule. Ukiacha mwanamke na binti huyo wa kigogo, wanawake wengine wengi walikamatwa, wengi wao walikutwa wakifanya vitendo vya ngono mchangani wakiwa ‘pea’.

MACHANGU WAFUNGUKA Kati ya wote waliokamatwa, wanawake kumi na tano walikiri kujishughulisha na biashara ya kuuza miili ambapo walisema wanafanya hivyo kutokana na ugumu wa maisha.

ACD MUTAFUNGWA ANASEMAJE? Kwa upande wake OCD Mutafungwa alisema wameamua kuyafanyia kazi malalamiko ya wananchi kwa kuvamia eneo hilo.

INSPEKTA SWAI ATIA NENO Naye Inspekta Swai aliyekuwa ‘front’ katika zoezi hilo alisema kuwa zoezi hilo litakuwa endelevu kila wiki ili kukomesha vitendo viovu katika ufukwe huo.

NI MATOKEO YA GAZETI LA RISASI Oparesheni hiyo ilikuja siku chache baada ya gazeti ndugu la hili, Risasi Mchanganyiko, toleo namba 1000 la Jumatano ya Aprili 17-19 kuripoti ufuska unaofanyika katika ufukwe huo usiku wa saa 9 na kuendelea. Uchunguzi wa gazeti hilo ulieleza kiundani vitendo vya ngono, usagaji, ubakaji, ushoga na ujambazi vilivyokuwa vikifanyika eneo hilo hivyo Jeshi la Polisi Kinondoni wakaona kuna kila sababu ya kufumua uozo huo kwa kuwa ni wachapakazi.

Tuesday, April 23, 2013

PADR AMCHARANGA MAPANGA KIMADA WAKE

Vitendo vya kikatili vimekuwa vikitekelezwa katika sura mbalimbali, ila tukio la mtumishi wa Mungu, Padri Celestine John Nyaumba, 35, kumgonga kwa gari makusudi na kumcharanga mapanga mzazi mwenzake ni aibu isiyo na mfano. Padri Celestine, anayetoa huduma kwenye Kanisa Katoliki la Mtakatifu Joseph, Homboro, Dodoma, anatuhumiwa kumtendea unyama huo, mzazi mwenzake, Selestina Anania Kibena, 35, Jumamosi iliyopita, Kata ya Kiluvya, Pwani. Hii ni aibu isiyomithilika kwa sababu padri kufanya ukatili huo ni kashfa nzito, ongezea kwamba alimfanyia hivyo mzazi mwenzake, wakati kwa sheria za kanisa, ni mwiko kwa padri kujihusisha na mapenzi achilia mbali kufikia hatua ya kuzaa. Aibu hiyo, inapata uzito zaidi kwa kuwa Selestina (mzazi mwenza wa padri), alikuwa mtawa (sister), lakini usista ulimshinda baada ya kupata mimba, takriban miaka minne iliyopita.

TUKIO LILIVYOKUWA Padri Celestine, akiwa anaendelea na utoaji wa huduma kwenye Kanisa la Mtakatifu Joseph, alipata nafasi ya kujiendeleza kimasomo, Chuo Kikuu cha Ardhi, Kitivo cha Ubunifu na Uchoraji wa Majengo, Dar es Salaam. Akiwa Dar, Padri Celestine anaishi Mbezi Shamba, wakati Selestina ni mkazi wa Maili Mbili, Dodoma. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali, mapema wiki iliyopita, Padri Celestine, alimwita Selestina, aungane naye Dar es Salaam, ‘wapumzishane’ kwa siku chache, kwani inadaiwa kwamba uhusiano wao wa kimapenzi ulikuwa unaendelea kwa siri.

MPANGO WA KIKATILI Habari zinatiririsha mambo kama ifuatavyo: Ijumaa iliyopita, Selestina aliwasili Dar es Salaam na kufikia nyumbani kwa Padri Celestine. Siku hiyo (Ijumaa), walizungumza mengi, ikiwemo kupanga mambo mbalimbali kuhusu maisha yao na mtoto wao ambaye sasa ana umri wa miaka mitatu. Siku iliyofuata (Jumamosi iliyopita), Padri Celestine, alimwomba Selestina, waongozane kwenda Kiluvya, Pwani. Selestina hakuwa na shaka juu ya hilo lakini akataka sababu ya kwenda Kiluvya, badala ya sehemu nyingine. Celestine akamweleza kuwa Kiluvya kuna sehemu nzuri ya kupumzika, vilevile ana jambo la kikazi atalifanya akiwa huko.

UKATILI UKATENDEKA Ilipofika usiku wa siku hiyo (Jumamosi), Padri Celestine na Selestina, walianza safari ya kutokea Mbezi Shamba kwenda Kiluvya, wakiwa na gari aina ya Suzuki lenye namba za usajili T220 AJN. “Walipofika Kiluvya, Padri Celestine ambaye alikuwa anaendesha gari hilo, alikata kushoto kuelekea porini. Gari likiwa porini kabisa, Padri Celestine alisimamisha kisha akamwambia Selestina ashuke kuangalia chini, kwani alihisi kuna tatizo,” kilisema chanzo chetu na kuongeza: “Selestina alishuka akainama chini kwenye uvungu wa gari kuangalia tatizo, ile anafanya hivyo tu, Padri Celestine aliendesha gari kwa spidi ili amgonge Selestina. Bahati nzuri Selestina aliruka lakini gari lilimgonga kwenye paja la kushoto. “Baada ya hapo, Celestine aligeuza gari amgonge tena lakini Selestina alijirusha sehemu yenye kishimo fulani hivi, kwa hiyo gari lilikuwa haliwezi kumfikia. Kuona hivyo, Padri Celestine alianza kumpiga mawe Celestine. “Pengine aliona yale mawe hayana uzito wa kutimiza kile ambacho alitaka kukifanya kwa Selestina, kwa hiyo Padri Celestine alifuata panga kwenye gari, akamfuata Selestina, akamcharanga mapanga kichwani, kwenye mikono yote miwili na mguu wa kushoto. “Kabla hajaendelea zaidi, Selestina alimrukia, purukushani ikaendelea. Padri Celestine alimng’ata Selestina katika shavu la kushoto, mwanamke huyo naye akajibu mapigo, akamng’ata padri katika shavu la kulia. “Baada ya purukushani ya muda mrefu, Padri Celestine aliona mambo magumu, ikabidi amwombe msamaha Selestina kwamba shetani alimpitia, akamwomba ampeleke hospitali. “Selestina alikubali lakini ile Padri Celestine anafuata gari, Selestina alijitutumua na kukimbia mbali zaidi, Padri Celestine aliporudi pale alipomwacha, hakumwona tena.”

HOSPITALI NA POLISI TUMBI Chanzo chetu kilisema: “Selestina alijivuta mpaka Hospitali ya Mkoa wa Pwani, Tumbi. Vilevile alitoa taarifa kwenye Kituo cha Polisi Tumbi. “Polisi walianza kufanya upelelezi wao na kufanikiwa kumkamata Padri Celestine, Jumapili iliyopita jioni.”

RPC ANENA Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei, alikiri kutokea kwa tukio hilo na akafafanua kwamba baada ya Padri Celestine kuhojiwa, alisema alipitiwa na shetani kutokana na usumbufu aliokuwa anaupata kutoka kwa Selestina. Kamanda Matei alisema, Padri Celestine alidai kuwa Selestina alikuwa anamuomba fedha nyingi za matumizi kwa ajili ya mtoto wao, kwa hiyo shetani alimpanda na kufikia hatua ya kufanya kile alichokitenda.

SELESTINA NAYE AZUNGUMZA Akiwa amelazwa Hospitali ya Tumbi, Selestina alisema: “Nashangaa kwa kila kilichotokea. Niliitwa na Padri Celestina kuja kupumzika, nashangaa mapumziko yamegeuka mateso.”

Monday, April 22, 2013

AJALI LA ROLI,LATINGA MPAKA CHUMBANI LAUA WATATU.

LORI aina ya Scania limeingia chumbani katika nyumba moja kijijini Ilonga, wilayani Mbarali Mkoa wa Mbeya na kuua watu watatu wa familia moja waliokuwa ndani. Tukio hilo lilitokea Jumatatu iliyopita saa tatu na robo usiku ambapo Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, Barakael Masaki amethibitisha na kuwataja marehemu kuwa ni Asia Yahya (52), wanafunzi wa Shule ya Msingi Ilonga, Abubakari Yahaya (8) na Fatuma Yahaya (6). Kamanda Masaki ameongeza kuwa ajali hiyo ilihusisha malori mawili yaliyogongana kisha moja kugonga nyumba na kusababisha vifo vya watu hao na majeruhi ambao ni Abuu Fadhil (22) na Steven Chiwa (26) ambao wamelazwa katika Hospitali ya Misheni ya Chimala. Alisema chanzo cha ajali ni gari lenye namba za usajili T578 ALS likiwa na tela lenye namba za usajili T125 AGM aina ya Scania kuligonga kwa nyuma gari lenye namba T959 ASC ambalo pia ni aina ya Scania. Alisema gari namba T959 ASC lilikuwa likiendeshwa na Juhudi Saimon (34), mkazi wa Dar es Salaam na ndilo lililogonga nyumba, mali ya Matia Mwagala mkazi wa Kijiji cha Ilongo ambayo marehemu walikuwa ndani. Hata hivyo, dereva wa gari lililosababisha ajali alikimbia na gari mara baada ya tukio ambapo Kaimu Kamanda anatoa rai kwa yeyote mwenye taarifa juu ya mahali alipo dereva wa gari lililosababisha ajali hiyo atoe taarifa kwani anatafutwa na polisi.

MTOTO WA MWEZI MMOJA NA NUSU ABAKWA NA BABU YAKE

Mtoto wa kike mwenye umri wa mwezi moja na nusu amelazwa katika hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa akiwa katika hali mbaya baada ya kudaiwa kunajisiwa na kuchanika vibaya sehemu zake za siri na kusababisha kupata haja kubwa na ndogo katika sehemu moja.

Habari za awali ambazo zilipatikana zilidai kuwa mtoto huyo alikuwa amenajisiwa na babu yake.

Akiongea katika wodi namba saba ya hospitali hiyo mama mzazi wa mtoto huyo Regina Msemakweli (24), mkazi wa Kijiji cha Isingu alisema kwa mtoto huyo alizaliwa Februari 25, mwaka huu wakati akiwa njiani kuelekea hospitali kujifungua.

Alisema kuwa, Aprili 17, mwaka huu aligundua kuwa mtoto wake amebakwa baadaya kurudi kutoka kisimani na kumkuta akilia bila kunyamaza na wakati wakwenda kisimani alimuacha mtoto huyo akiwa na mama mkwe na mtoto wake mwingine mdogo mwenye umri wa miaka miwili.

Regina alisema kuwa baada ya kuona mtoto akilia bila kunyamaza alimua kwenda kumuogesha ndipo aligundua sehemu za siri za mtoto huyo zikiwa zimevimba na kugundua alikuwa amechanika vibaya na alianza kutoa haja kubwana ndogo kwenye sehemu ya haja ndogo.

Alisema kuwa hali ya mtoto wake bado si nzuri kwani uvimbe sehemu za siri umepungua kidogo lakini madaktari baada ya kumchunguza mtoto walisema kuwa amebakwa.

“Nasikia tu na mimi kuwa watu wanasema amebakwa na baba mkwe wangu lakini wakati kitendo hicho kinatokea nilikuwa kisimani,” alisema.

Mganga mkuu wa hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa, DkLunemo Sakafu alisema kuwa, mtoto huyo alifikishwa hospitalini hapo na walipomchunguza waligundua kuwa alikuwa akitoka haja kubwa na ndogo kwenye sehemu moja. Alisema kuwa baada ya kufanyiwa uchunguzi alianzishiwa matibabu.

Muuguzi Mkunga wa hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa, Mary Mgonela alisema kuwa, mtoto huyo alipokelewa siku nne zilizopita akiwa na wifi yake kwani hata baba wa mtoto alipotakiwa kumpeleka mtoto huyo hospitali alisema kuwa alikuwa akienda kuchunga ng’ombe.

Alisema kuwa baada ya kuonekana suala hilo lazima litolewe taarifa Polisi Wifi yake alitakiwa kwenda polisi kuchukua PF 3 lakini hakurudi na alikwenda moja kwa moja mpaka sasa hajawahi kuonekana hata kuja kumjulia hali mtoto. Alisema kuwa baada ya wifi huyo kutoonekana ilibidi ripoti ilipotiwe kwa daktari na kisha polisi kwa ajili ya uchunguzi zaidi.

Alisema kuwa katika maelezo ya mama wa mtoto kabla ya kufika hospitali walianza kwenda kwa mganga wa kienyeji ambapo alisema kuwa haliwezi suala hilo na ndipo walipoamua kuja hospitali.

Muuguzi huyo alisema kuwa, mtoto huyo ameumizwa vibaya na anaendelea kupatiwa matibabu huku madaktari wakijitahidi wanavyoweza kuokoa maisha yake.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, kamishna msaidizi wa Polisi, David Misime alisema kuwa, hana taarifa jua ya tukio hilo na atalifuatilia.

---

LULU AINGIA LOCATION.....

Lulu aingia location, Lulu ‘fake’ abembeleza mastaa wamfollow kwenye Twitter

Inaonekana muigizaji wa filamu Elizabeth ‘Lulu’ Michael ameingia location kufanya filamu yake inayoaminika kuwa ya kwanza tangu atoke mahabusu mwezi January mwaka huu.

Kupitia Instagram, juzi Lulu ameshare picha inayomuonesha akiwa location na muigizaji Hashimu Kambi na kuandika, take 1 action, Mic location, me doing my thng.”

Katika hatua nyingine, Lulu amelalamika kuwepo kwa akaunti fake ya Twitter yenye jina lake iitwayo @Lulu_actress. “Haya lulu mwingne huyo on twitter…..!am tired jaman…nyie ma lulu nioneeni huruma basi…..!!!nimechoka kusikia case’z zenu!!!!NIMECHOKA JAMANI ,” ameandika Lulu kupitia Instagram.

Katika akaunti hiyo Fake, mtu huyo ameandika profile yake isemayo: Am a bongo movie actress|caring,loving and loved lady| latest movie coming soon by the name The end of tourture| starring wil be me and jb (imechukuliwa kama ilivyoandikwa).

Akaunti halisi ya Lulu kwenye mtandao wa Twitter ni ile yenye jina @hotlulumichael..

BALAA HILI!..

STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ amesema mwaka huu atawachanganya wanaume kama afanyavyo Nasibu Abdul ‘Diamond’ ili kwenda sawa.

Akifafanua kauli yake kwa paparazi wa Stori 3, Baby Madaha aliweka bayana kuwa haoni tatizo kunaswa na Mwisho Mwampamba kama ilivyoripotiwa hivi karibuni wakati huohuo anatoka kisela na mkali wa Bongo Fleva, Juma Kassim ‘Nature’. “Watakoma mwaka huu, lazima niwachanganye sana, mbona wao wanatuchanganya sana kama Diamond vile anavyofanya!” alisema Baby.

Sunday, April 21, 2013

Ujumbe wa mkereketwa kuhusu “Diamond” na Wema Sepetu 21/04/2013 17:49 Ujumbe uliotumwa (ambao unasomeka hapo chini) unahusiana na mazungumzo ya simu ambayo unaweza kuyasoma/sikiliza kwa kubofya hapa. WANAWAKE WAUNGANA KUSUSIA BIDHAA NA MAONYESHO YA MWANAMUZIKI DIAMOND Kwa Kumdhalilisha Bi. Wema Sepetu kwa kumrekodi katika simu na kusambaza mazungumzo nyeti! Kitendo cha Mwanamuziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul Juma maarufu kama Diamond,cha kurekodi mazungumzo yake na star wa Bongo Move Bi. Wema Sepetu, na kuyatuma mazungumzo yao ya mapenzi katika mitandao ni kitendo cha "Udhalilishaji wa Mwanamke." Kwa kuwa wanamuziki na wasanii wote wanatakiwa wawe ni mfamo na kioo cha jamii katika kielekeza jamii kuishi kwa kufuata na kuheshimu mahadili, lakini mwanamuziki Diamond ameonekana kuwa ni kiongozi wa " Udhalilishaji wa Mwanamke" kufuatia kitendo chake cha kurekodi na kusambaza mazungumzo yao ya simu ya kimapaenzi kati yake na Bi.Wema Sepetu na mpenzi wake wa sasa Bi. Penny, kitendo hiki ni cha " kuwadhalilisha wanawake wa kitanzania." Tunaowaomba akinamama na kinadada na wanawake wote kwa ujumla kususia kununua video, vcd, cd pia kugomea kuhudhuria onyesho lolote lile litakalofanya na mwamuziki. Nasibu Abdul Juma aka Diamond hadi pale atakapo waomba radhi wanawake wote wa kitanzania popote pale walipo. Wanawake wote wanatakiwa kugomea maonyesho ya mwanamuziki huyo na na kutonunua bidhaa za mwanamuziki huyo Diamond ili kukomesha kabisa tabia hizi chafu za " Udhalilishaji wa Mwanamke."

- IMEELEZWA kuwa mwanafunzi wa Kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Vanessa (jina linahifadhiwa) iliyopo Mkoani Mbeya aliyekuwa na mahusiano ya kingono mwalimu wake aitwaye John Mapunda ameambukizwa virusi vya UKIMWI (VVU). Mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka (17) wakati anahusiana kingono na mwalimu wake alikuwa anajiandaa kufanya mtihani wa Taifa wa kidato cha pili mwaka 2012 lakini hakuweza kufanya mtihani huo. Uchunguzi unaonesha kuwa, Mwalimu Mapunda alikuwa na uhusiano wa kingono na mwanafunzi wake tangu mwaka 2011 akiwa kidato cha kwanza katika shule hiyo na wakati mwingine mwanafunzi huyo alikuwa analala nyumbani kwa Mwalimu wake huyo kwa siku kadhaa, kama mkewe. Vyanzo vya blogu ya Kalulunga vimeeleza kuwa mwalimu huyo ambaye anafundisha somo la jiografia alifanikiwa kumtongoza na kumrubuni mwanafunzi huyo tangu akiwa kidato cha kwanza kwa kumwongezea maksi kila mtihani unapofanyika. Baada ya wazazi wa mtoto kufuatilia nyendo za mtoto baada ya kupotea kwa siku tatu mfululizo, wazazi walitoa taarifa Central Polisi Mbeya ambapo Polisi walianza kufuatilia. Siku tatu baadaye, mwanafunzi huyo wa kike alirejea nyumbani kwao. Wazazi walimpeleka Polisi. Alipobanwa, aliwaambia Polisi kuwa ametoka kwa mwalimu Mapunda na kukiri kufanya naye ngono bila kinga. Habari za kiuchunguzi zimeeleza kuwa Polisi na wazazi waliamua kwenda kumpima afya katika hospitali ya rufaa ya Mbeya ambapo majibu yalionesha kuwa mwanafunzi huyo alikuwa ameambukizwa VVU. Uchunguzi umebaini kuwa, jalada la uchunguzi wa polisi lipo chini ya askari anayefahamika kwa jina la Andrea Mwambembe na askari mwingine aliyefahamika kwa jina la Mwashiwuya. Lakini katika hali ya kustaajabisha, inadaiwa askari hao walipokuwa wakifuatilia sakata hilo kwa kumfuata mwalimu Mapunda kazini kwake, walipofika, Mkurungenzi wa shule hiyo aliyefahamika kwa jina la Shukran Mwasajobe alimshitua Mwl. Mapunda na kusababisha kutorokea wilayani Chunya. Siku iliyofuata Shukran anadaiwa kumfuata Afande Justine Kayombe na Afande mwanaume lakini mwenye simu iliyosajiliwa kwa jina la Judith Juma, ili kumalizazana na tatizo hilo. Katika hali ya kushangaza, Shukran baada ya kukutana na askari hao na kuweka mambo sawa, alionekana akimfokea askari Sponsor Millinga na kwenda kumlalamikia kuwa anatafuta rushwa kwake. Taarifa zinaonyesha kuwa hadi sasa mwalimu Mapunda hajakamatwa kwa kosa lolote na mwanafunzi aliyebakwa ameshindwa kufanya mtihani huku wazazi wakilalamika. Kwa sasa mwalimu Mapunda, Shukran na Afande Justine Kayombe wanadaiwa kuwa maswahiba na mara kadhaa wanaonekana wakiwa pamoja katika hoteli ya Moon Dust iliyopo kata ya Ruanda eneo la Soweto Mkoani Mbeya. Taarifa kutoka Ofisi za Ukaguzi kanda zinaonyesha kuwa mwalimu huyo amekuwa na kashfa ya ngono tanga akiwa katika Shule ya Montifot Sekondari iliyopo Usangu wilayani Mbarali mkoani Mbeya, na alifukuzwa hapo kabla ya mwakza 2008 baada ya kutuhumiwa kosa kama hilo, la kufanya mapenzi na mwanafunzi. Taarifa kutoka kwenye familia ya mwalimu huyo zinaonyesha kuwa kati ya mwaka 2007, muda mfupi kabla hajafukuzwa kazi katika Shule ya Montifot, mwalimu huyo alianza kukorofishana na mkewe katika suala la ufuska na walipohamia jijini Mbeya, mkewe alimfumania akiwa na mwanafunzi wa kike ndani na hivyo ndoa yao kuvunjika papo hapo, huku mkewe akirejea nyumbani kwao mkoani Tanga. Ili kuzima sakata hilo, Mkurugenzi wa shule hiyo anadaiwa kutaka kumfukuza Mkuu wa shule hiyo ambaye anaonekana kuhoji mara kadhaa juu ya sakata hilo ili hali yeye tayari anadhani amelimaliza polisi.

Ujumbe wa mkereketwa kuhusu “Diamond” na Wema Sepetu 21/04/2013 17:49 Ujumbe uliotumwa (ambao unasomeka hapo chini) unahusiana na mazungumzo ya simu ambayo unaweza kuyasoma/sikiliza kwa kubofya hapa. WANAWAKE WAUNGANA KUSUSIA BIDHAA NA MAONYESHO YA MWANAMUZIKI DIAMOND Kwa Kumdhalilisha Bi. Wema Sepetu kwa kumrekodi katika simu na kusambaza mazungumzo nyeti! Kitendo cha Mwanamuziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul Juma maarufu kama Diamond,cha kurekodi mazungumzo yake na star wa Bongo Move Bi. Wema Sepetu, na kuyatuma mazungumzo yao ya mapenzi katika mitandao ni kitendo cha "Udhalilishaji wa Mwanamke." Kwa kuwa wanamuziki na wasanii wote wanatakiwa wawe ni mfamo na kioo cha jamii katika kielekeza jamii kuishi kwa kufuata na kuheshimu mahadili, lakini mwanamuziki Diamond ameonekana kuwa ni kiongozi wa " Udhalilishaji wa Mwanamke" kufuatia kitendo chake cha kurekodi na kusambaza mazungumzo yao ya simu ya kimapaenzi kati yake na Bi.Wema Sepetu na mpenzi wake wa sasa Bi. Penny, kitendo hiki ni cha " kuwadhalilisha wanawake wa kitanzania." Tunaowaomba akinamama na kinadada na wanawake wote kwa ujumla kususia kununua video, vcd, cd pia kugomea kuhudhuria onyesho lolote lile litakalofanya na mwamuziki. Nasibu Abdul Juma aka Diamond hadi pale atakapo waomba radhi wanawake wote wa kitanzania popote pale walipo. Wanawake wote wanatakiwa kugomea maonyesho ya mwanamuziki huyo na na kutonunua bidhaa za mwanamuziki huyo Diamond ili kukomesha kabisa tabia hizi chafu za " Udhalilishaji wa Mwanamke."

Ujumbe wa mkereketwa kuhusu “Diamond” na Wema Sepetu 21/04/2013  uliotumwa (ambao unasomeka hapo chini) unahusiana na mazungumzo ya simu ambayo unaweza kuyasoma/sikiliza kwa kubofya hapa. WANAWAKE WAUNGANA KUSUSIA BIDHAA NA MAONYESHO YA MWANAMUZIKI DIAMOND Kwa Kumdhalilisha Bi. Wema Sepetu kwa kumrekodi katika simu na kusambaza mazungumzo nyeti! Kitendo cha Mwanamuziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul Juma maarufu kama Diamond,cha kurekodi mazungumzo yake na star wa Bongo Move Bi. Wema Sepetu, na kuyatuma mazungumzo yao ya mapenzi katika mitandao ni kitendo cha "Udhalilishaji wa Mwanamke." Kwa kuwa wanamuziki na wasanii wote wanatakiwa wawe ni mfamo na kioo cha jamii katika kielekeza jamii kuishi kwa kufuata na kuheshimu mahadili, lakini mwanamuziki Diamond ameonekana kuwa ni kiongozi wa " Udhalilishaji wa Mwanamke" kufuatia kitendo chake cha kurekodi na kusambaza mazungumzo yao ya simu ya kimapaenzi kati yake na Bi.Wema Sepetu na mpenzi wake wa sasa Bi. Penny, kitendo hiki ni cha " kuwadhalilisha wanawake wa kitanzania." Tunaowaomba akinamama na kinadada na wanawake wote kwa ujumla kususia kununua video, vcd, cd pia kugomea kuhudhuria onyesho lolote lile litakalofanya na mwamuziki. Nasibu Abdul Juma aka Diamond hadi pale atakapo waomba radhi wanawake wote wa kitanzania popote pale walipo. Wanawake wote wanatakiwa kugomea maonyesho ya mwanamuziki huyo na na kutonunua bidhaa za mwanamuziki huyo Diamond ili kukomesha kabisa tabia hizi chafu za " Udhalilishaji wa Mwanamke."

Friday, April 19, 2013

DAVINA AJIFUNGUA

CHEREKO chereko zilitawala kufuatia mwigizaji wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ kujifungua mtoto wa kiume kwa mumewe anayeishi naye sasa, Tabata, Dar.

Mama huyo wa watoto watatu sasa, alijifungua ‘baby boy’ huyo Jumapili iliyopita kwenye Hospitali ya Aga-Khan, jijini Dar na kusema anamshukuru Mungu kwa kwa hilo kama alivyokuwa akimwomba.

“Namshukuru sana Mungu nimejifungua salama, nilimwomba iwe hivyo. Kwa sasa namwomba Mola amjalie afya njema na maisha marefu mwanangu ili ikiwezekana naye aje kuwa mwigizaji kama mimi,” alisema Davina

Justin Bieber Wears Black Chanel Ski Mask


Justin Bieber is a man of many faces.
The teen singer, who last month was
spotted wearing a gas mask in London,
posted an Instagram photo of himself
donning a black Chanel ski mask on
Friday.
The Biebs shared the picture with the
caption, “Channel,” misspelling the iconic
designer’s name.
He’s also seen sporting an army-style
jacket in the pic.
What do you think of Bieber’s penchant
for wearing face masks?

It’s Official: Kim Kardashian and Kris Humphries Divorced Kim Kardashian Kris Humphries


Kim Kardashian and Kris Humphries are
OFFICIALLY divorced.
A judge dissolved the controversial, 72-day
union in Los Angeles on Friday, marking a
big victory for Kardashian over her ex-
husband, who spent a year and a half trying
to win an annulment.
But he failed to prove that their marriage was
fraudulent, and now divorce papers have
been signed and a settlement struck.
No terms were released on the record,
although TMZ reports that Humphries will get
NO money from Kardashian.
The NBA player and the reality TV star will
each pay attorney’s fees.
The couple’s marriage lasted for 72 days and
ended on Halloween 2011 — 536 days ago.
Gossip Cop will have any updates as they
happen.

AUNT:WABUNGE WANATAKA KUNIVUNJIA NDOA

DIVA wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel ameinua kinywa chake na kudai kwamba kuna baadhi ya wabunge wamekuwa wakimtongoza kwa nia ya kupata penzi kwake, Amani linasimulia aliyoyasema.

Akizungumza na mwandishi wa habari hii juzi jijini Dar, Aunt alisema waheshimiwa hao wanajua tayari yeye ameshaolewa lakini wamekuwa wakimpa usumbufu mkubwa na kutoa ahadi balimbali, ndogo na kubwa kitendo ambacho anaamini kinaweza kuhatarisha ndoa yake.

“Mimi nawashangaa sana baadhi ya waheshimiwa, wanajua tayari nimeolewa lakini wananitongoza, mimi siwezi,” alisema Aunt bila kuwataja majina wazito hao Akaongeza: “Mume wangu akisikia napata usumbufu kutoka kwa watu wazito, hawezi kuwa na amani, bado naipenda ndoa yangu na kuachana na Sunday wangu ni ndoto.” Mwishoni mwa mwaka jana, Aunt alifunga ndoa na mfanyabiashara Sunday Dimonte, Dubai na mpaka sasa wanaishi kama mke na mume

KIBAKA WA SHOW ZA KWENYE MAGARI ANASWA!!

Tukio hilo limetokea saa kamili usiku
mara baada ya kijana huyo kukamatwa
na vijana wa 4C NINJAS waliokuwa
wakifanya ulinzi kwenye magari
yaliopaki bara bara  ya migombani
( migombani street) katika eneo la
Mikochen na ndipo aliponaswa na
kuanza kuambulia kipigo .
awali kijana huyo ambaye sikuweza
kupata majina yake kutokana na vurugu
za kumpiga k uendelea katika eneo hilo
amablo magari yamepaki nje ya bara
bara huku wamiliki wake wakiwa
kwenye msiba ,alijitete kuwa ametoka
kazini ambapo ni kazini kwake
amesema ni karibu na sehemu
wanayopaki
mabasi ya Summri .
wamiliki hao walionekana kuwa na
hasira dhidi ya mtu humiwa huyo
ambaye aliweza kukabiliwa vikali na
kuwekwa chini ya ulinzi ili kusubiri
maamuzi zaidi hadi naondoka eneo la
tukio hatma ya kijana huyo bado
haijajulikana mikononi mwa raia hao
ambao wamegoma kumpeleka polisi.

HALLE BERRY CATCHING THA FIGHT

Is it just me or is Halle Berry smiling a whole lot more lately?! Of course the actress definitely has lots to be smiling about now that she’s revealed that she’s expecting a baby with fiance Olivier Martinez!

Halle was spotted making her way through LAX to catch a flight this afternoon looking casual, chic and happy! Halle’s baby bump is just visible now and I have a feeling she’s going to be able to wear her regular clothes for quite some time yet. She’s pretty tiny!

KIM KADRASHIAN SPOTTED!...

Kim Kardashian was spotted out with some friends in Beverly Hills today and she gave us a little peek at her baby belly! The reality star wore a pair of jeans with a navy blazer and navy lace tank underneath that showed her belly. I can’t be certain but it also looks like Kim is wearing regular jeans instead of maternity jeans. That can’t be comfortable!

Is it just me or is it nice to see Kim out with some girlfriends? It seems that we only ever see her out with her sisters or Jonathan Cheban so it’s nice to see her having some time with just the girls.

Masikini wema! This is so sad...! Soma hapa alichokiandika kwenye instagram. OMG!!!

"....One day il be dead and gone, im sure many of u will cry alot... thez goin to be alot of good stuff said abt wema... even those of u who loath me soo much are goin to remember me even if I dint do anything or leave any mark in your lives... I jus wanna say one thing, I hav never bin so tired of living my whole life... im soo tired. Ive had enuf of human beings... im frustrated, I feel miserable... try put urselves in my shoes. I dont think thez a person who wants to be living a life with drama everyday... just yesterday I said no one can break Wema Sepetu but today im jus broken... please atleast feel pity for me. Why me lord...? God this is too much... im getting weak... is dis wat uve always wanted... to break me...? Its soo hard. So so so hard... I jus want to hav peace... dats it..."

Hayo ni maneno ya mwanadada kipenzi cha wengi wema sepetu aliyoyaandika kwenye mtandao wa instagram leo alfajiri. Hii ni kufuatia kitendo cha mwanamzki wa bongo fleva Diamond Platnumz kutoa kwenye vyombo vya habari clip ya sauti aliyoirekodi inayoonekana kumdhalilisha mwadada huyo akimbembeleza warudine kimahusiano ya mapenzi.

Ukisoma vizuri maneno hayo utagundua ni kiasi gani mwanadada huyu ameumizwa na kitendo hicho.

Thursday, April 18, 2013

AHAHA WABUNGE HAWA MWE!OVER FILAM

FILAMU YA WABUNGE PART II ILIVYOANZA DOM

Unajua kinachoendelea kule mjengoni Dodoma katika Mkutano wa 13 wa Kikao cha Bunge la Bajeti la 2013/14? Kwa taarifa yako, ile filamu ya kauli za maudhi au tata katika bunge lililopita, inaendelea sehemu ya pili (part II), Amani lina kauli hizo. Katika vikao vya awali vya bunge hilo, tayari baadhi ya wabunge wameanza kutumia lugha za kuudhi na kuleta utata wakipigana vijembe kama ifuatavyo:

‘‘Mambo mengi nchi hii hayaendi kutokana na serikali pumbavu, hatuwezi kuwa na waziri wa elimu boya...” Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi

‘‘Kuna wabunge ambao wana mimba sizizotarajiwa bungeni...” Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde

‘‘Siongei na mbwa bali naongea na mwenye mbwa.” Mbunge wa Kondoa Kusini (CCM), Juma Nkamia

“UDOM (Chuo Kikuu cha Dodoma) kuna udini wa hali ya juu, wanafunzi wa dini tofauti hawalali chumba kimoja.” Mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini

“Serikali ina tatizo kwa kuwa kuna akili ndogo inatawala vichwa vikubwa.” Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa:

“Sikufurahishwa na kauli ya Lusinde kwamba tuna mimba sizizotarajiwa.” Anna Abdallah (Viti Maalum, (CCM)

“Kwa kuwa wanaume wengi wanabaka, kifunguliwe kituo wafundishwe kutongoza.” Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Leticia Nyerere

“Serikali iruhusu raia wa Tanzania walime bangi wapate fedha za kigeni.” Mbunge wa Nkasi (CCM), Ally K

JOKATE ANASWA NA KIDUME!

Miss Temeke 2006, Jokate Mwegelo ‘Kidoti‘ akiwa na mwanaume kimahaba imenaswa na kufi kishwa kwenye dawati la Amani.

Chanzo makini kimeitonya Centre Spread kuwa Jokate ameamua kujiweka kwa mwanaume huyo ambaye hakufahamika ili kulipa kisasi kwa aliyekuwa mpenzi wake,

Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambaye alimuacha na kumchukua Peniel Mungilwa ‘Penny’. Baada ya kuinasa picha hiyo kwenye vyanzo vyake, paparazi wetu alimuendea hewani Jokate na kumshushia tuhuma hizo ambapo alileta hadithi njoo, utamu kolea: “Unajua kwa sasa nimeingia kwenye muziki na hivi karibuni nitatoa video yangu, unajua lazima kubadili fani, ndiyo maisha ya siku hizi na huyo mtu nimefanya naye video,” alisema Jokate kisha akakata simu.

BI KIDUDE AZIKWA RASMI

Mwanamuziki mkongwe, Bi Kidude binti Baraka aliyefariki dunia jana amezikwa leo mchana huko Zanzibar na katika mazishi hayo alihudhuria Mhe. Rais Dr. Ali Mohamed Shein.

MAPENZI YA MASTAR

HESHIMA ya ndoa ni kuishi kwa upendo na uhai wake uwe wa hali ya juu. Ndoa idumu basi, kifo ndiyo kiwatenganishe kama vitabu vya dini vinavyotufundisha. Kukua kwa utandawazi kumeleta taswira mpya katika sura ya wapendanao. Sasa hivi Mtanzania anaweza kuolewa au kuoa raia wa nchi nyingine na kupitia hapo tunapata kujua mila na desturi za mataifa mbalimbali duniani.

Mtanzania anaweza kujua tabia za watu wengine kupitia ndoa mseto iliyofungwa, hivyo kama Mtanzania ataoa au kuolewa na mtu wa taifa lingine halafu ndoa yao ikasuasua kutoka na tabia ya mtu husika, hakika hiyo itakuwa ni aibu kwa mhusika na taifa lake kwa jumla.

Nyumbani ni nyumbani, kwa kulitambua hilo leo tuitazame heshima ambayo mastaa wetu walioolewa au kuoa nchi jirani wamejijengea na matukio ya aibu waliyofanya.

MWISHO MWAMPAMBA

Kwa upande wake yeye alikutana na Meryl Shikwambane aliyekuwa mshiriki katika shindano hilo akiiwakilisha nchi ya Namibia. Walianza mapenzi taratibu na kama utani, vyombo vya habari vikaripoti, mapenzi yakashamiri kiasi cha kufikia hatua ya kufunga ndoa mwaka 2011.

Watanzania walitamani kuona mafanikio makubwa juu ya ndoa hiyo ambayo ilipata matunda baada ya kufanikiwa kupata mtoto mmoja ambaye baba yake (Mwisho) alimuita Monkey (Nyani). Baada ya ndoa hiyo, Mwisho hivi karibuni akiwa Bongo ameripotiwa kuanguka kwenye dhambi ya usaliti wa ndoa ambapo anatajwa katika skendo ya kutoka na staa wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’.

Baby Madaha alipohojiwa kutoka na Mwisho kwa ushahidi wa picha alisema hakuna cha ajabu kwa sababu walishawahi kuwa wapenzi awali hivyo wamerudiana (kwa hiyo kurudiana kumo hata kama mmoja ameshaoa?!)

Hiyo ni aibu yetu, Mtanzania anaonesha picha mbaya kwa wenzetu. Hata kama Meryl hayupo Bongo, anapoona au kusikia matukio kama hayo kwa mume wake, anapata picha kwamba Watanzania siyo wastaarabu na si waaminifu.

UWOYA NA NDIKUMANA

Ndoa ya mwigizaji wa sinema za Kibongo, Irene Pancras Uwoya na msukuma kabumbu wa Rwanda, Hamad Ndikumana ‘Katauti’ nayo ni aibu nyingine! Bibie Mtanzania ‘pyuwa’ akakutana na jamaa huyo raia wa Rwanda, wakapendana, mwaka 2009 wakafunga ndoa katika Kanisa la Mtakatifu Joseph jijini Dar.

Ndoa yao imekuwa ikisuasua, zaidi chanzo kikitajwa ni bibie huyo mwenye mvuto wa hali ya juu. Ametajwa kuisaliti ndoa mara kadhaa, likiwemo tukio bichi la kunaswa na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ katika hoteli ambako mpaka sasa haijajulikana waliingia kufanya nini.

Kwa tukio hilo hakika picha mbaya kwa tasnia pamoja na taifa kwa jumla imejionesha. Uwoya ameshindwa kuitumikia ndoa yake kwa uadilifu kama alivyoapa mbele ya padri matokeo yake imekosa uhai na kuwa katika hali ya kifo. Aibu sana!

MFANO WA KUIGWA

Kama ni pongezi basi zinapaswa kuelekezwa kwa mshiriki mwingine wa Big Brother Africa 2009, Mtanzania Elizabeth Gupta ambaye ndani ya mjengo alianzisha uhusiano wa kimapenzi na mshindi wa shindano hilo kutoka Nigeria, Kelvin Chuwang. Baada ya uhusiano huo waliamua wafunge ndoa mwaka 2010, hadi leo ndoa yao haijatetereka na ikiwa imezaa matunda ya kumpata mtoto mmoja. Wawili hao maisha yanaendelea bila kuwa na kwaro zozote.

TAHADHARI

Kama raia wengine wa mataifa ya nje wataendelea kuoa au kuolewa na Wabongo halafu usaliti ukawa wazi, kuna uwezekano mkubwa wa Tanzania kutafsirika vibaya mbele ya jamii ya kimataifa inayojua nchi yetu ni ya upendo, amani na uadilifu.Tafakari, chukua hatua!

KASHESHE!: MKE AMSHUSHIA MUME KIPONDO BAR!

Mwanamke mmoja ambaye jina lake halikuweza kufahamika mara moja, hivi karibuni alizua sekeseke la aina yake baada ya kumvaa mwanaume anayedaiwa ni mume wake na kumshushia kichapo. Tukio hilo la aina yake lilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita kwenye Baa ya Corner iliyopo Afrikasana, Sinza jijini Dar ambapo inadaiwa chanzo cha vurumai hilo ni mwanaume huyo kutoonekana nyumbani.

Chanzo chetu kilichokuwa eneo la tukio hilo kilitutonya kuwa, awali mwanamke huyo alitinga katika kiwanja hicho cha kujidai asubuhi na mapema huku akionekana kuangazaangaza huku na kule kabla ya kukutana na bwana wake huyo na kuanza kuzozana. “Yule mwanamke alipofika hapa alionekana alikuja kishari na hata alivyokuwa akiongea na yule bwana wake tulibashiri kutokea kwa ugomvi.

“Kweli… haukupita muda mrefu tukaona wakianza kukunjana, mara mwanamke akapandwa na hasira na ndipo sekeseke la aina yake likatokea,” kilidai chanzo hicho.

Ikaelezwa kuwa kutokana na jinsi walivyokuwa wakitifuana, wasamaria wema waliingilia kati na kuwataka wayamalize badala ya kuwapa faida watu. Kufuatia ushauri huo, wawili hao waliachiana na mwanamke akaanza kulia kisha akamlalia mwanaume huyo kifuani, wakabembelezana na kuondoka eneo hilo.

JAMANI WEMA....ADAIWA KUJITONGOZESHA TENA KWA DIAMOND

Aibu imemshuka, imemfika, imemwenea na imemtapakaa kila upande, Miss Tanzania 2006-07, Wema Isaac Sepetu. Hivi leo, endapo utamkuta Wema akiwa ametulia kisha ukamtishia ukitumia sauti ya juu kuyataja majina ya Diamond na Penny, kuna uwezekano mkubwa mrembo huyo akavunja mguu kwa kukimbia ‘spidi’ kali.

Ikamshuka Wema; Jumatatu iliyopita, usiku mkubwa, inadaiwa kuwa mrembo huyo akiwa katika hali ya utulivu kabisa, akaamua liwalo na liwe, hawezi kulikosa penzi la mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Juma ‘Diamond’, wakati ni wake tangu na tangu.

Simu ikapigwa; inadaiwa kuwa Wema aliamini Diamond hapindui kwake, kwa hiyo alipiga simu kwa kujiamini. Kilichozungumzwa; baada ya simu kupokelewa, inadaiwa kwamba Wema aliomba Diamond afungue moyo ili penzi lao lirudi kama zamani.

Diamond kwa misifa; Diamond kwa kiasi fulani alipikwa kimuziki na Dully Sykes ‘Mister Misifa’ na meneja wake wa zamani anaitwa Papa Misifa, kwa hiyo naye ni zao la Misifa. Misifa kazini; Diamond aliposikia sauti ya Wema ikimbembeleza, ‘bichwa’ likamvimba, papo hapo, akaanza kumrekodi mrembo huyo.

Kilichosikika; sauti ya Diamond inasikika kwa juu, huku ile ya Wema ikitokelezea kwa mbali. Kimazungumzo ni kuwa M’bongo Fleva huyo, anaeleza kwamba hivi sasa yupo kwenye uhusiano ‘siriaz’ na mtangazaji, Penniel Mungilwa ‘Penny’, kwa hiyo hawezi kumwacha. Eti Diamond hataki ‘drama’; mwanamuziki huyo, anasikika akimjibu Wema kwamba hawezi kurudiana naye kwa sababu itaonekana wanafanya drama (maigizo). Diamond anafunguka: “Hapa hakuna drama wala nini, wala sikufanyii drama. I am in love with Penny (nipo kwenye penzi na Penny) na wewe unajua. Sipendi na sipendezewi kwa sababu mwisho wa siku yatakuja kutokea matatizo, sitaki.” Penny naye; mrembo huyo anayemmiliki Diamond kwa sasa, aliingilia mazungumzo kati ya M’bongo Fleva huyo na Wema, kisha anasikika akimpa vidonge vyake, mrembo huyo: “Wema unaweza kutuacha tulale?” Wema akasalimia; mrembo huyo ambaye juzijuzi alikata shilingi milioni 13 kumtolea faini msanii Kajala Masanja na kumwokoa na jela, hakutetereka kusikia sauti ya Penny kwenye simu, badala yake akamsalimia: “Uko poa?” Penny akaliendeleza: “Yeah, niko poa mamy wangu. Hivi kwa nini hutaki kitu kitakachokufanya uwe na amani? Sisi hatutaki matatizo na wewe.”

WEMA ANASEMAJE? Alipohojiwa na paparazi wetu kuhusiana na ishu hiyo, Wema alikataa katakata kwamba sauti inayosikika kwenye rekodi ya mazungumzo hayo siyo ya kwake, akaongeza kuwa alishaachana na Diamond siku nyingi zilizopita na kamwe hawezi kufanya kitu kama hicho. “Hao kama wananichokonoa wapate ‘kick’ wafanye kimpango wao na siyo kutumia jina langu, mimi ni staa mkubwa Tanzania na kila mtu ananijua, waniache na maisha yangu kwa sababu sipendi kuongeaongea. Hata hili kama usingeniuliza, nisingesema chochote,” alisema mrembo huyo.

DIAMOND JE? Diamond alipozungumza na ripota wetu, alisema kuwa sauti hiyo alimrekodi Wema kwa lengo la kumwonesha ni kiasi gani hivi sasa yupo kwenye uhusiano ‘siriaz’ na Penny.

Wednesday, April 17, 2013

Rihanna Not Pregnant Despite Rumors


EXCLUSIVE
Rihanna is the subject of pregnancy rumors
related to her recent cancellation of concerts .
TMZ and other outlets are stirring the pot,
noting that the singer was seen coming out
of a medical building in Beverly Hills on
Tuesday, and speculating that her doctor’s
visit may not be connected to the throat
problems that have kept her off the stage.
“Because the info coming from Rihanna’s
camp has been sketchy… there have been a
slew of tabloid stories speculating that she’s
pregnant,” explains TMZ.
And those stories are wrong .
Gossip Cop can exclusively confirm that
Rihanna is NOT pregnant.
A source close to Rihanna tells Gossip Cop
she is absolutely not expecting a baby.

DRAMA????..Pregnant Kim Kardashian ‘Collapses’


OK! continues the lame
tabloid trend of trying to
cause drama in Kim
Kardashian ’s pregnancy on Wednesday, with
a cover headline blaring, “Pregnant Kim
Collapses.”
Oh no, did she fall down?! Or faint?
Absolutely NOT .
Inside its pages, the mag’s reveals a
disgusting bait and switch, reporting that
Kardashian collapsed “ in tears ” over Kanye
West supposedly deserting her.
Pathetic.
Anyway, a so-called “source” tells the tab
the reality star has been “very upset” lately,
explaining, “All the bad stuff that has been
happening in her life over the past few weeks
has really gotten to her.”
The purported “insider” claims that
Kardashian recently “collapsed in tears”
during a phone call with mom Kris Jenner,
noting, “Kim seemed inconsolable so Kris
rushed over.”
According to the tabloid, the Marriage
Counselor actress was distressed about a
“huge fight” she and West had about him
being away on tour, and quotes its spy as
saying, “Kim told him she didn’t want to
marry him if he wasn’t going to be there to
support her and the baby emotionally.”
The “source” adds, “She’s upset he went out
of town. She worries he won’t be there for a
lot of the baby’s firsts.”
OK! ’s insider continues to blabber on about
Kardashian allegedly feeling “fat and
uncomfortable” during her pregnancy and
being “in a bad mood 24/7.”
The purported pal then tells the magazine
that she and West are “communicating a lot
better now,” noting, “For a while it looked like
the wedding was off, but things are back on
track.”
What wedding ?
Kardashian and West are NOT engaged and
do NOT have any current marriage plans.
This entire story is a JOKE .
A Kardashian family insider blasted the tab’s
report to Gossip Cop , telling us it’s “gross.”

LULU AFANYA BIRTHDAY YA KUTIMIZA MIAKA 18

Mwigizaji elizabeth Michael "Lulu" Jana tarehe kumi na saba alifanya party ya kusherehekea kutimiza miaka kumi na nane (18) ya kuzaliwa. Sherehi hii ilihudhuriwa na watu mbalimbali akiwemo mwanamuziki wa bongo fleva Ali kiba pamoja na Mwigizaji

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...