BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Friday, April 26, 2013

CHUZI AMSAJILI BATULI

Direkta wa Kampuni ya Tuesday Entertainment, Tuesday Kihangala ‘Mr Chuz’ ameamua kumsajili mwigizaji anayekuja kwa kasi, Batuli ili kuimarisha kampuni yake.

Akizungumza na Centre Spred, Chuz alisema amefikia uamuzi wa kumchukua nyota huyo baada ya kuona uwezo wake katika kazi ambazo amezifanya na zimefanya vizuri sokoni. “Natarajia kumchezesha katika filamu yangu mpya ya Makaburi ya Kinondoni, uwezo wake ni mkubwa nina imani atafanya vizuri,” alisema Mr Chuz.

No comments:

Post a Comment

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...