BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Sunday, September 9, 2012

Denmark sare na Czech


Denmark na Czech zatoka sare
Timu ya Denmark ilitoka sare bila ya kufungana bao lolote na wageni wao Jamhuri ya Czech katika mechi iliyochezwa siku ya jumamosi.
Hii ilikuwa ni kutafuta nafasi ya kucheza katika fainali za kombe la dunia , nchini Brazil mwaka 2014.
Katika kipindi cha kwanza Denmark ilifanya mashambulizi makala katika lango la Czech lakini bila mafanikio.
Na kipindi cha pili ikawa zamu ya Czech kufanya mashambulizi ambayo pia hayakuzaa matunda.
Japo katika dakika za mwisho wa mechzo huo Denmark ilipiga kambi katika lango la Czech lakini kipa Petr Cech alihakikisha mpira umemalizika kwa 0-0.

No comments:

Post a Comment

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...