BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Sunday, September 9, 2012

Mkenya David Korir ashinda Paralympiki


Viwanja vya mashindano ya Olympiki jijini London
Mwanariadha kutoka Kenya, David Korir ameshinda medali ya fedha katika michezo ya walemavu ya Paralypiki jiini London, katika mashindano ya mbio za watu wasioweza kuona, ya T13 ya mita 800.
Wakati wa mashindano hayo Korir alionkeana kuongoza, hadi mwanariadha wa Algeria alipompita.
Hatahivyo alishukuru kwa kupata medali ya fedha.
Amesema mafaniko hayo yamemuinua na inamuwekea msingi wa kusonga mbele.

Aidha amesema atatumia fursa hiyo kuiwakilisha Kenya katika michezo ya Olimpiki ya Rio, Brazil, miaka miine ijayo.

No comments:

Post a Comment

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...