Gari la wangonjwa la AAR ambalo lilimbeba Dk. Ulimboka likiwasili Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere.
Mwenyekiti
wa Jumuia ya Madaktari nchini, Dk. Steven Ulimboka leo mchana
alifikishwa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere kwa ajili ya
kupelekwa nchini Afrika Kusini kwa matibabu zaidi baada ya madaktari
kubaini kuwa ana mtatizo ya kitabibu yanayomkabili likiwemo la mtikisiko
wa ubongo.
Mwenyekiti huyo alifikishwa uwanjani hapo majira ya saa 8.30 na ndege aliyosafiri nayo iliondoka saa 10.15. Uwanjani hapo kulikuwa na wanaharakati ambao walikuwa na mabango, kinyume cha matarajio ya wengi walizani kuwa angeteremshwa na kuingizwa na machela Uwanjani hapo lakini gari lililombeba lilipita moja kwa moja hadi ndani ya uwanja huo.
Mwenyekiti huyo alifikishwa uwanjani hapo majira ya saa 8.30 na ndege aliyosafiri nayo iliondoka saa 10.15. Uwanjani hapo kulikuwa na wanaharakati ambao walikuwa na mabango, kinyume cha matarajio ya wengi walizani kuwa angeteremshwa na kuingizwa na machela Uwanjani hapo lakini gari lililombeba lilipita moja kwa moja hadi ndani ya uwanja huo.
No comments:
Post a Comment