WAMAMA WA KITAA ‘WAFANZA’ MAMBO
Wamama wa maeneo ya Kigogo Luhanga ‘kitaa’ na mashosti zao, jana
walifanya kufuru ya kubanjuka kihasara wakati wakimtunza mwenzao
aliyefahamika kwa jina la Zamda Luhavi katika kile kinachojulikana kama
“kumpelekea beseni”.