BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Thursday, September 13, 2012

JACK MAISHA PLUS APATA SHAVU PICHA ZA UTUPU


Jacqueline Dastan ‘Jack Maisha Plus’.

STAA wa Maisha Plus Season II, Jacqueline Dastan ‘Jack Maisha Plus’, hivi karibuni alipata shavu la kupiga picha za utupu tenda iliyomtaka aende Afrika Kusini baada ya kukutana na mawakala wa kazi hiyo Bongo.
Akipiga stori na Motomoto Newz, Jack alisema alipigiwa simu na wakala ambaye makazi yake ni Sauz akamwambia kuna dili kwa warembo wa Bongo kupiga picha za utupu nchini humo ambazo baadaye hupelekwa kuuzwa nje na kulipwa pesa nzuri zaidi.
 “Wakala huyo alinieleza kuwa picha hizo zitaenda kupigiwa Afrika Kusini na ni lazima niwe na Viza ya kusafiria, ukweli sina Viza lakini niliona siwezi kupiga picha hizo kwa sababu katika soko ningekuta zimetua kwetu Bongo,” alisema Jack.

1 comment:

  1. Furthermore, it contains helpful features care a good
    deal of the Tinnitus is originated from the brainpower.

    I am likewise lottery on instance studies Primidone,
    Valproic blistering Depakene - These are anticonvulsants.



    Look at my web-site: causes tinnitus

    ReplyDelete

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...