BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Thursday, June 28, 2012


SIRI YA PUMZI KATIKA KUENJOY MAPENZI

 
Sijui nianzie wapi! Topic tete...TUTAPONA TU MDOGO MDOGO


Kwanza, Kuna wanaume ambao Wanawake wao wanalalamika,jamaa wako fasta kuinua mashabiki..Dakika 10 nyingi watu Yangaaaa Yangaaaaa....Washafunga Mahesabu....Ndo kwanza mpenzi anapanda Kilima wewe huyoooo unatiririkaaaaa...Inaudhi na kukera sana,na sometimes,jamaa linajifanya linajuaaaaaaaaaa hadi huwezi hata kuliambia,maana ukiliambia ugomvi...ooh unaleta mambo ya ajabu utakuwa ushapata mtu mwingine...


Ah ah,kama unakosea utaambiwa tu...Jifunze tufaidi wote..Raha ya Mechi ya mpira wa miguu ni magoli,ila Raha ya Mechi hii huwa ni Raha kwa wote...Waingereza wanasema Pleasure for Both....Tiririka muda muafaka.


Upande wa Pili...Kuna Wanawake,Amini usiamini,wamezoeshwa aina flani ya Mapenzi ambayo hawatiririki ng'oo...Wameingia kwenye huu ulimwengu wakakutana na Wanaume flani ambao ni Selfish,hawajali mama katiririka au Lah,wenyewe wakimaliza ndo basi...Filimbi Pyeeeee!Kati!


Hili ni tatizo kubwa.Na likifika kwenye Ndoa ndo inakuwa balaa zaidi....Leo tujifunze Power of Breathing....Inhaling and Exhaling...


Mfumo wa Upumuaji husaidia pumzi kupita kwenye kila part ya Mwili....Pumzi ina-release tension kwenye maeneo yenye tension na kuhakikisha mtu yuko at ease...


This is the Secret behind breathing


Kwa wale wanaume wenye haraka haraka...wenye Kisebengo...Mnawaudhi sana Wanawake wenu na mtasaidiwa kwelikweli na jamaa wanaosimamia kucha..Tena usiombe akamatwe na wale wakongo wa Saluni ndo kabisaaaaa....Fally ipupa haoni ndani,Show ndefu Dar mpaka Kinshasa.


Tafuta muda,wewe na mpenzi...Sio mkionana unarukia tu kama Basi la Kawe limefika...hujui mchuchu ana stress au hana,we unakwea tu...Sio mnazi...Muandae awe tayari kwanza,ndo uendelee

Tumia dakika 5,kaa nae...Fanya mazoezi ya Breathing,,,In and Out mkiwa mmekaa pamoja,mnaangaliana..Inakuwa kama aina flani ya Mchezo but its very healthy.

Hata kama alikuwa na tension,atajisikia released maana Breathing inasaidia kuondoa tension kwenye Mwili.

Na mkianza ile shughuli kumbukeni kuwa na pose kwenye breathing,ili kuendelea kuwa na Oxygen  ya kutosha kwenye Mwili

Kwa wanawake ambao kwao Kilele wanakisoma kwenye Stori za Eric Shigongo please do this...

Before the match do it,hata 5 times hivi ili uwe at ease..na ukiingia kwenye mechi jitahidi kuwa unavuta pumzi ya kutosha and exhale kwa kutumia pua na sio mdomo.

Ruhusu hewa nyingi ndani na uiachie yote,fanya hivyo kama mara 3....

Kamwe usipige kipute huku una mawazo...Mara kazini hivi mara bosi vilee...CONCENTRATE.

Akili yako iwe kwenye Mechi.....Jitahidi kumuangalia jamaamachoni...eye contact helps katika kuelekea kitonga...Sasa nyie mnaopiga kipute Gizani mtajua la kufanya,eye contact mtaipata wapi gizani....

BREATHING CAN CHANGE YOUR SEXUAL EXPERIENCE,TRY IT AND SEE

No comments:

Post a Comment

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...