BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Tuesday, June 26, 2012

JINSI MAPOROMOKO YA UDONGO YALIVYOCHUKUA MAISHA YA WAGANDA.


.
Uokoaji umetarajiwa kuanza tena leo huko mashariki mwa Uganda ambako vijiji vitatu vilifunikwa na udongo kutokana na maporomoko ya udongo.
Shirika la msalaba mwekundu Uganda limesema zaidi ya watu 18 wamefariki dunia katika maporomoko hayo.
BBC wameandika kwamba zaidi ya nyumba kumi na tano zimefunikwa  kutokana na mvua kubwa.
Hata hivyo bado waliojeruhiwa kwenye eneo hilo wanaendelea kutibiwa baada ya kilichotokea kwenye eneo hilo lenye rutuba la Bududa, linalokuza kahawa na lililopo karibu na mbuga ya wanyama ya mlima Elgon.

No comments:

Post a Comment

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...