BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Saturday, June 23, 2012

Drake wa kwanza kutoka kulia.
Chanzo cha ugomvi inadaiwa Chris Brown baada ya kugundua yuko club moja ya usiku na hasimu wake Drake aliamua kumuagiza muhudumu kumpelekea Drake  pombe kama njia ya kumaliza uhasama wao lakini Drake hakuipokea vizuri na badala yake aliamka alipokuepo na kumfata Chris Brown na kumpiga.

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...