BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Thursday, June 28, 2012

Beckham hatashiriki Olimpiki


Aliyekuwa nahodha wa Uingereza, David Beckham, amekosa nafasi katika timu itakayowakilisha Uingereza wakati wa michezo ya olimpiki.
Beckham amesema hakuchaguliwa kuwa mmoja wa wachezaji katika timu hiyo inayojumuisha wachezaji kumi na wanane.
Amesema kuwa angependa kuiwakilisha Uingereza na amevunjika moyo kutoka na uamuzi huo.

No comments:

Post a Comment

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...