BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Wednesday, June 27, 2012

STEVE NYERERE NA ALAMA ZA FREEMASON



Steven Mengere ‘Steve Nyerere’.

MCHEKESHAJI maarufu nchini, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amewashangaza watu baada ya kuonekana akionesha alama zinazotumiwa zaidi na Freemason.
Steve Nyerere alifanya kituko hicho wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Kilimanjaro Kempiski ambapo kulikuwa na hafla ya uzinduzi wa filamu ya Wema Sepetu, aliyoipa jina la Usiku wa Wema, ambapo alivaa suti yenye alama za jamii hiyo huku akionesha vidole kwa alama inayoaminika inatumiwa na Freemason (angalia picha).
“Tangu hii staili ya Freemason ivume imekuwa tabu, sasa hata Steve Nyerere naye anataka kujifanya Freemason, kweli mastaa hawapitwi,” alisikia mdau mmoja aliyekuwa ukumbini humo.

No comments:

Post a Comment

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...