BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Saturday, September 8, 2012

Msafiri Diof Amuumbua Sintah

Msafiri Diof
"Ndugu zangu ngoja ni share na nyie hii story huyu kaka najutaaaa kumfahamu,Diof mara nyingi nakutana naye  Kinondoni ,huwa napita kumnunulia my sista chips,kila nikipita kama kawaida  kikosi cha mizinga nampa akiondoka ananiita huyu ndie tajiri sinteeeeri,hee jana si kanibadilikia,

kanisimamisha ktk gari,akaomba lift uwiiiii sintah nilitamani niingie uvunguni mwa gari,  kamkuta baby kakaa mbele na akaanza kuropoka hivi sintah huyu ndio shemeji eeeh,mana nimekuona DTV unahojiwa sijui hivi sijui vile mara umetoa mimba jamani tulia  sintah usiwe na mashemeji wengi sijui nani alimtuma kuniropokea au kilikuwa kinamuwasha sana kila siku ndo alinipatia timing  jana yaan kumshusha natamani basi na baby ndio mbea camp hee Diof sema sema,

daah anaendelea nilitamani nifike anapoenda in a minute ,,,mmmmh kaniumbuajeee sasa, sema baby haku mind coz aliona kipindi na anajua kila kitu na ananiamini sana maana hata simu yangu anakaa nayo siki 3 je wewe mwanawani unaweza?? subutu

 DIOF SINA LA KUSEMA ZAIDI YA AHSANTE NA NASHUKURU KWA YOTE NIMEKOMA MIE NO MORE SINTERIIII" Says Sinta

No comments:

Post a Comment

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...