BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Friday, August 17, 2012

MMOJA AUAWA, MWINGINE ANUSURIKA KWA TUHUMA ZA KUIBA PIKIPIKI MKOANI MORO


Kijana aliyenusurika akiwa hoi baada ya kipigo kutoka kwa wananchi.
...Kijana huyo akiwa mikononi mwa wananchi.
Vijana hao wawili waliosadikiwa kuwa vibaka wakiwa kwenye gari la polisi.
Pikipiki inayodaiwa kuibiwa na vijana hao.
KIJANA mmoja ameuawa wakati mwenzake anayesadikiwa kuwa ni Ustadh kwa mavazi aliyokuwa amevaa, akinusurika kuuawa baada ya kutuhumiwa kuiba baiskeli eneo ya Kihonda mkoani Morogoro jana jioni. Kwa mujibu wa jeshi la Polisi, mtuhumiwa huyo aliye hai amelazwa katika hospitali ya Rufaa mkoani hapa kwa matibabu.

No comments:

Post a Comment

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...