BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Sunday, July 1, 2012

Waziri Mkuu wa Hong Kong atawazwa

Rais Hu Jintao wa Uchina ameadhimisha miaka 15 tangu Hong Kong kurejeshewa Uchina, kwa kuahidi kuwa Hong Kong ibaki na uhuru wake wa kadiri fulani.
Maandamano yaliyofanywa Hong Kong Jumapili

Kwa wakati wote huo, koloni hiyo ya zamani ya Uingereza, imekuwa ikiendesha shughuli zake wenyewe, chini ya utawala wa Uchina katika sera inayoitwa - taifa moja lenye mifumo miwili ya siasa.
Katika sherehe ya kuapishwa kwa waziri mkuu mpya wa Hong Kong, C.Y. Leung, Rais Hu alisema, Hong Kong imetoa mchango mkubwa katika mabadiliko na marekibisho ya kisasa katika Uchina bara.

No comments:

Post a Comment

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...