MWILI WA MTOTO MCHANGA WAKUTWA UKIELEA MTO MOROGORO
Baadhi ya wananchi na wanausalama wakiwa eneo la mto Morogoro kushuhudia tukio hilo.
Wakijiandaa kukiopoa kichanga hicho kutoka mtoni.
John Bosko Luwanda aliyekuwa mtu wa kwanza kuiona maiti ya kichanga hicho, akikiopoa kutoka kwenye maji ya Mto Morogoro.
Wakihifadhi maiti ya kichanga hicho.
John Bosco akipanda gari la polisi kupeleka maiti ya kichanga hospitali.
MWILI wa kichanga chenye jinsia ya kiume jana jioni uliokotwa katika
Mtaa wa Ngoma 'A' kwenye Mto Morogoro, mjini Morogoro, ukidaiwa kutupwa
na mama yake muda mfupi baada ya kujifungua.
Uchunguzi wa awali umebaini kwamba mwanamke aliyefanya ukatili huo
alikunywa maji ya uchungu kwa lengo la kujifungua kabla ya miezi tisa
kutimia ambapo mtoto huyo alionekana kukaa tumboni kwa miezi saba au
minane.
No comments:
Post a Comment