Huyu
mkaka ni bro wangu wa hiyari na pia ni friends wangu on facebook, i
means sijaanza kumjua facebook but tangu kitaa kutokana na kazi zake za
ART& SIGNS aisee jamaa anachora huyu acha! km ulikuwa hujui yale
mabango ya plisner ice huwa anachora yeye kwa mkono wake!

KARIBU SAANA KIJANA!!
ReplyDeleteTHanks alot tupo kusubiri vitusss
DeleteLoolest!
ReplyDelete