LORI aina ya Scania limeingia chumbani katika nyumba moja kijijini Ilonga, wilayani Mbarali Mkoa wa Mbeya na kuua watu watatu wa familia moja waliokuwa ndani. Tukio hilo lilitokea Jumatatu iliyopita saa tatu na robo usiku ambapo Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, Barakael Masaki amethibitisha na kuwataja marehemu kuwa ni Asia Yahya (52), wanafunzi wa Shule ya Msingi Ilonga, Abubakari Yahaya (8) na Fatuma Yahaya (6). Kamanda Masaki ameongeza kuwa ajali hiyo ilihusisha malori mawili yaliyogongana kisha moja kugonga nyumba na kusababisha vifo vya watu hao na majeruhi ambao ni Abuu Fadhil (22) na Steven Chiwa (26) ambao wamelazwa katika Hospitali ya Misheni ya Chimala. Alisema chanzo cha ajali ni gari lenye namba za usajili T578 ALS likiwa na tela lenye namba za usajili T125 AGM aina ya Scania kuligonga kwa nyuma gari lenye namba T959 ASC ambalo pia ni aina ya Scania. Alisema gari namba T959 ASC lilikuwa likiendeshwa na Juhudi Saimon (34), mkazi wa Dar es Salaam na ndilo lililogonga nyumba, mali ya Matia Mwagala mkazi wa Kijiji cha Ilongo ambayo marehemu walikuwa ndani. Hata hivyo, dereva wa gari lililosababisha ajali alikimbia na gari mara baada ya tukio ambapo Kaimu Kamanda anatoa rai kwa yeyote mwenye taarifa juu ya mahali alipo dereva wa gari lililosababisha ajali hiyo atoe taarifa kwani anatafutwa na polisi.
BBB
advertisement
tangaza sherehe
ADVERTISEMENT
Monday, April 22, 2013
MTOTO WA MWEZI MMOJA NA NUSU ABAKWA NA BABU YAKE
Mtoto wa kike mwenye umri wa mwezi moja na nusu amelazwa katika hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa akiwa katika hali mbaya baada ya kudaiwa kunajisiwa na kuchanika vibaya sehemu zake za siri na kusababisha kupata haja kubwa na ndogo katika sehemu moja.
Habari za awali ambazo zilipatikana zilidai kuwa mtoto huyo alikuwa amenajisiwa na babu yake.
Akiongea katika wodi namba saba ya hospitali hiyo mama mzazi wa mtoto huyo Regina Msemakweli (24), mkazi wa Kijiji cha Isingu alisema kwa mtoto huyo alizaliwa Februari 25, mwaka huu wakati akiwa njiani kuelekea hospitali kujifungua.
Alisema kuwa, Aprili 17, mwaka huu aligundua kuwa mtoto wake amebakwa baadaya kurudi kutoka kisimani na kumkuta akilia bila kunyamaza na wakati wakwenda kisimani alimuacha mtoto huyo akiwa na mama mkwe na mtoto wake mwingine mdogo mwenye umri wa miaka miwili.
Regina alisema kuwa baada ya kuona mtoto akilia bila kunyamaza alimua kwenda kumuogesha ndipo aligundua sehemu za siri za mtoto huyo zikiwa zimevimba na kugundua alikuwa amechanika vibaya na alianza kutoa haja kubwana ndogo kwenye sehemu ya haja ndogo.
Alisema kuwa hali ya mtoto wake bado si nzuri kwani uvimbe sehemu za siri umepungua kidogo lakini madaktari baada ya kumchunguza mtoto walisema kuwa amebakwa.
“Nasikia tu na mimi kuwa watu wanasema amebakwa na baba mkwe wangu lakini wakati kitendo hicho kinatokea nilikuwa kisimani,” alisema.
Mganga mkuu wa hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa, DkLunemo Sakafu alisema kuwa, mtoto huyo alifikishwa hospitalini hapo na walipomchunguza waligundua kuwa alikuwa akitoka haja kubwa na ndogo kwenye sehemu moja. Alisema kuwa baada ya kufanyiwa uchunguzi alianzishiwa matibabu.
Muuguzi Mkunga wa hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa, Mary Mgonela alisema kuwa, mtoto huyo alipokelewa siku nne zilizopita akiwa na wifi yake kwani hata baba wa mtoto alipotakiwa kumpeleka mtoto huyo hospitali alisema kuwa alikuwa akienda kuchunga ng’ombe.
Alisema kuwa baada ya kuonekana suala hilo lazima litolewe taarifa Polisi Wifi yake alitakiwa kwenda polisi kuchukua PF 3 lakini hakurudi na alikwenda moja kwa moja mpaka sasa hajawahi kuonekana hata kuja kumjulia hali mtoto. Alisema kuwa baada ya wifi huyo kutoonekana ilibidi ripoti ilipotiwe kwa daktari na kisha polisi kwa ajili ya uchunguzi zaidi.
Alisema kuwa katika maelezo ya mama wa mtoto kabla ya kufika hospitali walianza kwenda kwa mganga wa kienyeji ambapo alisema kuwa haliwezi suala hilo na ndipo walipoamua kuja hospitali.
Muuguzi huyo alisema kuwa, mtoto huyo ameumizwa vibaya na anaendelea kupatiwa matibabu huku madaktari wakijitahidi wanavyoweza kuokoa maisha yake.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, kamishna msaidizi wa Polisi, David Misime alisema kuwa, hana taarifa jua ya tukio hilo na atalifuatilia.
---
LULU AINGIA LOCATION.....
Lulu aingia location, Lulu ‘fake’ abembeleza mastaa wamfollow kwenye Twitter
Inaonekana muigizaji wa filamu Elizabeth ‘Lulu’ Michael ameingia location kufanya filamu yake inayoaminika kuwa ya kwanza tangu atoke mahabusu mwezi January mwaka huu.
Kupitia Instagram, juzi Lulu ameshare picha inayomuonesha akiwa location na muigizaji Hashimu Kambi na kuandika, take 1 action, Mic location, me doing my thng.”
Katika hatua nyingine, Lulu amelalamika kuwepo kwa akaunti fake ya Twitter yenye jina lake iitwayo @Lulu_actress. “Haya lulu mwingne huyo on twitter…..!am tired jaman…nyie ma lulu nioneeni huruma basi…..!!!nimechoka kusikia case’z zenu!!!!NIMECHOKA JAMANI ,” ameandika Lulu kupitia Instagram.
Katika akaunti hiyo Fake, mtu huyo ameandika profile yake isemayo: Am a bongo movie actress|caring,loving and loved lady| latest movie coming soon by the name The end of tourture| starring wil be me and jb (imechukuliwa kama ilivyoandikwa).
Akaunti halisi ya Lulu kwenye mtandao wa Twitter ni ile yenye jina @hotlulumichael..
BALAA HILI!..
STAA wa muziki na filamu Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ amesema mwaka huu atawachanganya wanaume kama afanyavyo Nasibu Abdul ‘Diamond’ ili kwenda sawa.
Akifafanua kauli yake kwa paparazi wa Stori 3, Baby Madaha aliweka bayana kuwa haoni tatizo kunaswa na Mwisho Mwampamba kama ilivyoripotiwa hivi karibuni wakati huohuo anatoka kisela na mkali wa Bongo Fleva, Juma Kassim ‘Nature’. “Watakoma mwaka huu, lazima niwachanganye sana, mbona wao wanatuchanganya sana kama Diamond vile anavyofanya!” alisema Baby.
Sunday, April 21, 2013
Ujumbe wa mkereketwa kuhusu “Diamond” na Wema Sepetu 21/04/2013 17:49 Ujumbe uliotumwa (ambao unasomeka hapo chini) unahusiana na mazungumzo ya simu ambayo unaweza kuyasoma/sikiliza kwa kubofya hapa. WANAWAKE WAUNGANA KUSUSIA BIDHAA NA MAONYESHO YA MWANAMUZIKI DIAMOND Kwa Kumdhalilisha Bi. Wema Sepetu kwa kumrekodi katika simu na kusambaza mazungumzo nyeti! Kitendo cha Mwanamuziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul Juma maarufu kama Diamond,cha kurekodi mazungumzo yake na star wa Bongo Move Bi. Wema Sepetu, na kuyatuma mazungumzo yao ya mapenzi katika mitandao ni kitendo cha "Udhalilishaji wa Mwanamke." Kwa kuwa wanamuziki na wasanii wote wanatakiwa wawe ni mfamo na kioo cha jamii katika kielekeza jamii kuishi kwa kufuata na kuheshimu mahadili, lakini mwanamuziki Diamond ameonekana kuwa ni kiongozi wa " Udhalilishaji wa Mwanamke" kufuatia kitendo chake cha kurekodi na kusambaza mazungumzo yao ya simu ya kimapaenzi kati yake na Bi.Wema Sepetu na mpenzi wake wa sasa Bi. Penny, kitendo hiki ni cha " kuwadhalilisha wanawake wa kitanzania." Tunaowaomba akinamama na kinadada na wanawake wote kwa ujumla kususia kununua video, vcd, cd pia kugomea kuhudhuria onyesho lolote lile litakalofanya na mwamuziki. Nasibu Abdul Juma aka Diamond hadi pale atakapo waomba radhi wanawake wote wa kitanzania popote pale walipo. Wanawake wote wanatakiwa kugomea maonyesho ya mwanamuziki huyo na na kutonunua bidhaa za mwanamuziki huyo Diamond ili kukomesha kabisa tabia hizi chafu za " Udhalilishaji wa Mwanamke."
- IMEELEZWA kuwa mwanafunzi wa Kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari ya Vanessa (jina linahifadhiwa) iliyopo Mkoani Mbeya aliyekuwa na mahusiano ya kingono mwalimu wake aitwaye John Mapunda ameambukizwa virusi vya UKIMWI (VVU). Mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka (17) wakati anahusiana kingono na mwalimu wake alikuwa anajiandaa kufanya mtihani wa Taifa wa kidato cha pili mwaka 2012 lakini hakuweza kufanya mtihani huo. Uchunguzi unaonesha kuwa, Mwalimu Mapunda alikuwa na uhusiano wa kingono na mwanafunzi wake tangu mwaka 2011 akiwa kidato cha kwanza katika shule hiyo na wakati mwingine mwanafunzi huyo alikuwa analala nyumbani kwa Mwalimu wake huyo kwa siku kadhaa, kama mkewe. Vyanzo vya blogu ya Kalulunga vimeeleza kuwa mwalimu huyo ambaye anafundisha somo la jiografia alifanikiwa kumtongoza na kumrubuni mwanafunzi huyo tangu akiwa kidato cha kwanza kwa kumwongezea maksi kila mtihani unapofanyika. Baada ya wazazi wa mtoto kufuatilia nyendo za mtoto baada ya kupotea kwa siku tatu mfululizo, wazazi walitoa taarifa Central Polisi Mbeya ambapo Polisi walianza kufuatilia. Siku tatu baadaye, mwanafunzi huyo wa kike alirejea nyumbani kwao. Wazazi walimpeleka Polisi. Alipobanwa, aliwaambia Polisi kuwa ametoka kwa mwalimu Mapunda na kukiri kufanya naye ngono bila kinga. Habari za kiuchunguzi zimeeleza kuwa Polisi na wazazi waliamua kwenda kumpima afya katika hospitali ya rufaa ya Mbeya ambapo majibu yalionesha kuwa mwanafunzi huyo alikuwa ameambukizwa VVU. Uchunguzi umebaini kuwa, jalada la uchunguzi wa polisi lipo chini ya askari anayefahamika kwa jina la Andrea Mwambembe na askari mwingine aliyefahamika kwa jina la Mwashiwuya. Lakini katika hali ya kustaajabisha, inadaiwa askari hao walipokuwa wakifuatilia sakata hilo kwa kumfuata mwalimu Mapunda kazini kwake, walipofika, Mkurungenzi wa shule hiyo aliyefahamika kwa jina la Shukran Mwasajobe alimshitua Mwl. Mapunda na kusababisha kutorokea wilayani Chunya. Siku iliyofuata Shukran anadaiwa kumfuata Afande Justine Kayombe na Afande mwanaume lakini mwenye simu iliyosajiliwa kwa jina la Judith Juma, ili kumalizazana na tatizo hilo. Katika hali ya kushangaza, Shukran baada ya kukutana na askari hao na kuweka mambo sawa, alionekana akimfokea askari Sponsor Millinga na kwenda kumlalamikia kuwa anatafuta rushwa kwake. Taarifa zinaonyesha kuwa hadi sasa mwalimu Mapunda hajakamatwa kwa kosa lolote na mwanafunzi aliyebakwa ameshindwa kufanya mtihani huku wazazi wakilalamika. Kwa sasa mwalimu Mapunda, Shukran na Afande Justine Kayombe wanadaiwa kuwa maswahiba na mara kadhaa wanaonekana wakiwa pamoja katika hoteli ya Moon Dust iliyopo kata ya Ruanda eneo la Soweto Mkoani Mbeya. Taarifa kutoka Ofisi za Ukaguzi kanda zinaonyesha kuwa mwalimu huyo amekuwa na kashfa ya ngono tanga akiwa katika Shule ya Montifot Sekondari iliyopo Usangu wilayani Mbarali mkoani Mbeya, na alifukuzwa hapo kabla ya mwakza 2008 baada ya kutuhumiwa kosa kama hilo, la kufanya mapenzi na mwanafunzi. Taarifa kutoka kwenye familia ya mwalimu huyo zinaonyesha kuwa kati ya mwaka 2007, muda mfupi kabla hajafukuzwa kazi katika Shule ya Montifot, mwalimu huyo alianza kukorofishana na mkewe katika suala la ufuska na walipohamia jijini Mbeya, mkewe alimfumania akiwa na mwanafunzi wa kike ndani na hivyo ndoa yao kuvunjika papo hapo, huku mkewe akirejea nyumbani kwao mkoani Tanga. Ili kuzima sakata hilo, Mkurugenzi wa shule hiyo anadaiwa kutaka kumfukuza Mkuu wa shule hiyo ambaye anaonekana kuhoji mara kadhaa juu ya sakata hilo ili hali yeye tayari anadhani amelimaliza polisi.
Ujumbe wa mkereketwa kuhusu “Diamond” na Wema Sepetu 21/04/2013 17:49 Ujumbe uliotumwa (ambao unasomeka hapo chini) unahusiana na mazungumzo ya simu ambayo unaweza kuyasoma/sikiliza kwa kubofya hapa. WANAWAKE WAUNGANA KUSUSIA BIDHAA NA MAONYESHO YA MWANAMUZIKI DIAMOND Kwa Kumdhalilisha Bi. Wema Sepetu kwa kumrekodi katika simu na kusambaza mazungumzo nyeti! Kitendo cha Mwanamuziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul Juma maarufu kama Diamond,cha kurekodi mazungumzo yake na star wa Bongo Move Bi. Wema Sepetu, na kuyatuma mazungumzo yao ya mapenzi katika mitandao ni kitendo cha "Udhalilishaji wa Mwanamke." Kwa kuwa wanamuziki na wasanii wote wanatakiwa wawe ni mfamo na kioo cha jamii katika kielekeza jamii kuishi kwa kufuata na kuheshimu mahadili, lakini mwanamuziki Diamond ameonekana kuwa ni kiongozi wa " Udhalilishaji wa Mwanamke" kufuatia kitendo chake cha kurekodi na kusambaza mazungumzo yao ya simu ya kimapaenzi kati yake na Bi.Wema Sepetu na mpenzi wake wa sasa Bi. Penny, kitendo hiki ni cha " kuwadhalilisha wanawake wa kitanzania." Tunaowaomba akinamama na kinadada na wanawake wote kwa ujumla kususia kununua video, vcd, cd pia kugomea kuhudhuria onyesho lolote lile litakalofanya na mwamuziki. Nasibu Abdul Juma aka Diamond hadi pale atakapo waomba radhi wanawake wote wa kitanzania popote pale walipo. Wanawake wote wanatakiwa kugomea maonyesho ya mwanamuziki huyo na na kutonunua bidhaa za mwanamuziki huyo Diamond ili kukomesha kabisa tabia hizi chafu za " Udhalilishaji wa Mwanamke."
Ujumbe wa mkereketwa kuhusu “Diamond” na Wema Sepetu 21/04/2013 uliotumwa (ambao unasomeka hapo chini) unahusiana na mazungumzo ya simu ambayo unaweza kuyasoma/sikiliza kwa kubofya hapa. WANAWAKE WAUNGANA KUSUSIA BIDHAA NA MAONYESHO YA MWANAMUZIKI DIAMOND Kwa Kumdhalilisha Bi. Wema Sepetu kwa kumrekodi katika simu na kusambaza mazungumzo nyeti! Kitendo cha Mwanamuziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul Juma maarufu kama Diamond,cha kurekodi mazungumzo yake na star wa Bongo Move Bi. Wema Sepetu, na kuyatuma mazungumzo yao ya mapenzi katika mitandao ni kitendo cha "Udhalilishaji wa Mwanamke." Kwa kuwa wanamuziki na wasanii wote wanatakiwa wawe ni mfamo na kioo cha jamii katika kielekeza jamii kuishi kwa kufuata na kuheshimu mahadili, lakini mwanamuziki Diamond ameonekana kuwa ni kiongozi wa " Udhalilishaji wa Mwanamke" kufuatia kitendo chake cha kurekodi na kusambaza mazungumzo yao ya simu ya kimapaenzi kati yake na Bi.Wema Sepetu na mpenzi wake wa sasa Bi. Penny, kitendo hiki ni cha " kuwadhalilisha wanawake wa kitanzania." Tunaowaomba akinamama na kinadada na wanawake wote kwa ujumla kususia kununua video, vcd, cd pia kugomea kuhudhuria onyesho lolote lile litakalofanya na mwamuziki. Nasibu Abdul Juma aka Diamond hadi pale atakapo waomba radhi wanawake wote wa kitanzania popote pale walipo. Wanawake wote wanatakiwa kugomea maonyesho ya mwanamuziki huyo na na kutonunua bidhaa za mwanamuziki huyo Diamond ili kukomesha kabisa tabia hizi chafu za " Udhalilishaji wa Mwanamke."
Friday, April 19, 2013
DAVINA AJIFUNGUA
CHEREKO chereko zilitawala kufuatia mwigizaji wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ kujifungua mtoto wa kiume kwa mumewe anayeishi naye sasa, Tabata, Dar.
Mama huyo wa watoto watatu sasa, alijifungua ‘baby boy’ huyo Jumapili iliyopita kwenye Hospitali ya Aga-Khan, jijini Dar na kusema anamshukuru Mungu kwa kwa hilo kama alivyokuwa akimwomba.
“Namshukuru sana Mungu nimejifungua salama, nilimwomba iwe hivyo. Kwa sasa namwomba Mola amjalie afya njema na maisha marefu mwanangu ili ikiwezekana naye aje kuwa mwigizaji kama mimi,” alisema Davina
Justin Bieber Wears Black Chanel Ski Mask
Justin Bieber is a man of many faces.
The teen singer, who last month was
spotted wearing a gas mask in London,
posted an Instagram photo of himself
donning a black Chanel ski mask on
Friday.
The Biebs shared the picture with the
caption, “Channel,” misspelling the iconic
designer’s name.
He’s also seen sporting an army-style
jacket in the pic.
What do you think of Bieber’s penchant
for wearing face masks?
It’s Official: Kim Kardashian and Kris Humphries Divorced Kim Kardashian Kris Humphries
Kim Kardashian and Kris Humphries are
OFFICIALLY divorced.
A judge dissolved the controversial, 72-day
union in Los Angeles on Friday, marking a
big victory for Kardashian over her ex-
husband, who spent a year and a half trying
to win an annulment.
But he failed to prove that their marriage was
fraudulent, and now divorce papers have
been signed and a settlement struck.
No terms were released on the record,
although TMZ reports that Humphries will get
NO money from Kardashian.
The NBA player and the reality TV star will
each pay attorney’s fees.
The couple’s marriage lasted for 72 days and
ended on Halloween 2011 — 536 days ago.
Gossip Cop will have any updates as they
happen.
AUNT:WABUNGE WANATAKA KUNIVUNJIA NDOA
DIVA wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel ameinua kinywa chake na kudai kwamba kuna baadhi ya wabunge wamekuwa wakimtongoza kwa nia ya kupata penzi kwake, Amani linasimulia aliyoyasema.
Akizungumza na mwandishi wa habari hii juzi jijini Dar, Aunt alisema waheshimiwa hao wanajua tayari yeye ameshaolewa lakini wamekuwa wakimpa usumbufu mkubwa na kutoa ahadi balimbali, ndogo na kubwa kitendo ambacho anaamini kinaweza kuhatarisha ndoa yake.
“Mimi nawashangaa sana baadhi ya waheshimiwa, wanajua tayari nimeolewa lakini wananitongoza, mimi siwezi,” alisema Aunt bila kuwataja majina wazito hao Akaongeza: “Mume wangu akisikia napata usumbufu kutoka kwa watu wazito, hawezi kuwa na amani, bado naipenda ndoa yangu na kuachana na Sunday wangu ni ndoto.” Mwishoni mwa mwaka jana, Aunt alifunga ndoa na mfanyabiashara Sunday Dimonte, Dubai na mpaka sasa wanaishi kama mke na mume
KIBAKA WA SHOW ZA KWENYE MAGARI ANASWA!!
Tukio hilo limetokea saa kamili usiku
mara baada ya kijana huyo kukamatwa
na vijana wa 4C NINJAS waliokuwa
wakifanya ulinzi kwenye magari
yaliopaki bara bara ya migombani
( migombani street) katika eneo la
Mikochen na ndipo aliponaswa na
kuanza kuambulia kipigo .
awali kijana huyo ambaye sikuweza
kupata majina yake kutokana na vurugu
za kumpiga k uendelea katika eneo hilo
amablo magari yamepaki nje ya bara
bara huku wamiliki wake wakiwa
kwenye msiba ,alijitete kuwa ametoka
kazini ambapo ni kazini kwake
amesema ni karibu na sehemu
wanayopaki
mabasi ya Summri .
wamiliki hao walionekana kuwa na
hasira dhidi ya mtu humiwa huyo
ambaye aliweza kukabiliwa vikali na
kuwekwa chini ya ulinzi ili kusubiri
maamuzi zaidi hadi naondoka eneo la
tukio hatma ya kijana huyo bado
haijajulikana mikononi mwa raia hao
ambao wamegoma kumpeleka polisi.
HALLE BERRY CATCHING THA FIGHT
Is it just me or is Halle Berry smiling a whole lot more lately?! Of course the actress definitely has lots to be smiling about now that she’s revealed that she’s expecting a baby with fiance Olivier Martinez!
Halle was spotted making her way through LAX to catch a flight this afternoon looking casual, chic and happy! Halle’s baby bump is just visible now and I have a feeling she’s going to be able to wear her regular clothes for quite some time yet. She’s pretty tiny!
KIM KADRASHIAN SPOTTED!...
Kim Kardashian was spotted out with some friends in Beverly Hills today and she gave us a little peek at her baby belly! The reality star wore a pair of jeans with a navy blazer and navy lace tank underneath that showed her belly. I can’t be certain but it also looks like Kim is wearing regular jeans instead of maternity jeans. That can’t be comfortable!
Is it just me or is it nice to see Kim out with some girlfriends? It seems that we only ever see her out with her sisters or Jonathan Cheban so it’s nice to see her having some time with just the girls.
Masikini wema! This is so sad...! Soma hapa alichokiandika kwenye instagram. OMG!!!
"....One day il be dead and gone, im sure many of u will cry alot... thez goin to be alot of good stuff said abt wema... even those of u who loath me soo much are goin to remember me even if I dint do anything or leave any mark in your lives... I jus wanna say one thing, I hav never bin so tired of living my whole life... im soo tired. Ive had enuf of human beings... im frustrated, I feel miserable... try put urselves in my shoes. I dont think thez a person who wants to be living a life with drama everyday... just yesterday I said no one can break Wema Sepetu but today im jus broken... please atleast feel pity for me. Why me lord...? God this is too much... im getting weak... is dis wat uve always wanted... to break me...? Its soo hard. So so so hard... I jus want to hav peace... dats it..."
Hayo ni maneno ya mwanadada kipenzi cha wengi wema sepetu aliyoyaandika kwenye mtandao wa instagram leo alfajiri. Hii ni kufuatia kitendo cha mwanamzki wa bongo fleva Diamond Platnumz kutoa kwenye vyombo vya habari clip ya sauti aliyoirekodi inayoonekana kumdhalilisha mwadada huyo akimbembeleza warudine kimahusiano ya mapenzi.
Ukisoma vizuri maneno hayo utagundua ni kiasi gani mwanadada huyu ameumizwa na kitendo hicho.
Thursday, April 18, 2013
AHAHA WABUNGE HAWA MWE!OVER FILAM
FILAMU YA WABUNGE PART II ILIVYOANZA DOM
Unajua kinachoendelea kule mjengoni Dodoma katika Mkutano wa 13 wa Kikao cha Bunge la Bajeti la 2013/14? Kwa taarifa yako, ile filamu ya kauli za maudhi au tata katika bunge lililopita, inaendelea sehemu ya pili (part II), Amani lina kauli hizo. Katika vikao vya awali vya bunge hilo, tayari baadhi ya wabunge wameanza kutumia lugha za kuudhi na kuleta utata wakipigana vijembe kama ifuatavyo:
‘‘Mambo mengi nchi hii hayaendi kutokana na serikali pumbavu, hatuwezi kuwa na waziri wa elimu boya...” Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi
‘‘Kuna wabunge ambao wana mimba sizizotarajiwa bungeni...” Mbunge wa Mtera (CCM), Livingstone Lusinde
‘‘Siongei na mbwa bali naongea na mwenye mbwa.” Mbunge wa Kondoa Kusini (CCM), Juma Nkamia
“UDOM (Chuo Kikuu cha Dodoma) kuna udini wa hali ya juu, wanafunzi wa dini tofauti hawalali chumba kimoja.” Mbunge wa Rombo (Chadema), Joseph Selasini
“Serikali ina tatizo kwa kuwa kuna akili ndogo inatawala vichwa vikubwa.” Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa:
“Sikufurahishwa na kauli ya Lusinde kwamba tuna mimba sizizotarajiwa.” Anna Abdallah (Viti Maalum, (CCM)
“Kwa kuwa wanaume wengi wanabaka, kifunguliwe kituo wafundishwe kutongoza.” Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Leticia Nyerere
“Serikali iruhusu raia wa Tanzania walime bangi wapate fedha za kigeni.” Mbunge wa Nkasi (CCM), Ally K